Habarini.
Mimi ni kijana nina miaka 40 nina watoto wakiume watatu ni mfanyakazi wa serikali na pia ni mfanyabiashara,
niliachana na niliyezaa nae miaka miwili iliyopita.
Tulishindwana na bahati tulikua hatujafunga ndoa tuliishi illegally so nimetafakari kwa sasa kuishi mwenyewe siwez nahitaji mke ila awe tayari kulea hao watoto awafanye kama wake awe ni mdada kuanzia miaka 25 mpaka 30mwenye elimu atleast degree moja.
Asiwe na mtoto na awe ni mdada ambaye hajawahi kolewa au kuchumbiwa kabila awe mchagga, mhaya,mnyakyusa,mgita,mzanaki,mmasai,mpare,mluguru,mhehe,msukuma au yeyote isipokua mrangi,mnyiamba,mmbulu.
Asanteni.
Mimi ni kijana nina miaka 40 nina watoto wakiume watatu ni mfanyakazi wa serikali na pia ni mfanyabiashara,
niliachana na niliyezaa nae miaka miwili iliyopita.
Tulishindwana na bahati tulikua hatujafunga ndoa tuliishi illegally so nimetafakari kwa sasa kuishi mwenyewe siwez nahitaji mke ila awe tayari kulea hao watoto awafanye kama wake awe ni mdada kuanzia miaka 25 mpaka 30mwenye elimu atleast degree moja.
Asiwe na mtoto na awe ni mdada ambaye hajawahi kolewa au kuchumbiwa kabila awe mchagga, mhaya,mnyakyusa,mgita,mzanaki,mmasai,mpare,mluguru,mhehe,msukuma au yeyote isipokua mrangi,mnyiamba,mmbulu.
Asanteni.