Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Tafuta Mwenye Mtoto. Ndo Ataweza Kukulelea Watoto Wako. Yes Yupo Ana Mtoto Asokua Na Baba, Ana Umr 28 Ni Mhaya, Anaish Geita, Ni Mhasibu, Ila Upost Picha Yako Kwanzaaa, Haujataja Sababu Ya Kuachana Na Mwenzio
 
kan'tangaze njoo shga angu kuna kijana anatafuta mchmba😝😝😜

Thubuthuuuuu. .kwanza miaka 40 ue kijana au kibab???? Ujana alilia wapi uzee aumalzie kwangu!!!! Na degree yangu nije kulelea watoto wa mtu kwan nlkuwa nasomea bachelor of child care
 
Last edited by a moderator:
preta ntake radhi sisi ndio ma house girl ee. mtu mwenyewe anaonyesha ni bonge la mbinafsi, mmbaguzi ana team ya watoto anajua maisha kuna kukosana lakini hahitaji mwenye mtoto wala aliyewah kuchumbiwa mnaotaka someni kitu hapo kizito unaweza chomwa sindano yakukausha kizazi aloo ulee wake wakue upite hiviiii

Mtani wangu na wewe umechomoa........sasa bora hata ungekubali mwanzo.......masharti yameshaongezeka na hayapungui........kwanza anataka m'beautiful maana ni mwanasiasa........ikiwa na maana kuwa.......kuna safari ya kwenda kuuza nyago bungeni.........sijui nikubali...........?........unanishaurije mtani..........
 
Mkuu utakuwa unamaanisha degree za chupi....
Maana kama ni hizi za kukesha na mabeseni yenye maji miguuni kidogo itakuwa ngumu...
 
msimamo wangu uko palepale...hakipungui kigezo hata kimoja....im not desperate material but because also im a politician natakiwa nioe niwe na mke.....sitaki mwanamke mwenye mtoto na sitaki mwenye miaka zaid ya thelathin huyo ashazeeka kabisa kwangu....atak kimwana ambaye ametulia atakayenifanya nitulie forever tuenjoy life...sitaki stress any more....infact pia inatakiwa awe very beautiful...kama yupo wa hivyo tuwasiliane...hayupo wa hivyo nitajichagulia mwenyewe...mwanamme ni bidhaa adimu....inapojitoeza hivi nilitarajia majibu mazuri kutoka kwenu but matokeo yake mmeanza kashfa....mara mjane mara kitu gan........sijawah kuwa mjane na umri wangu sijazeeka hata kidogo...mshindwe na mlegee

Usikate tamaa mkuu, baada ya kusikia ww ni kada na mwanasiasa tokea kile chama kikongwe chenye mihela basi utpokea PMs nyingi sana. Nafikiri walikuwa hawajakuelewa ww ni nani???😀
 
msimamo wangu uko palepale...hakipungui kigezo hata kimoja....im not desperate material but because also im a politician natakiwa nioe niwe na mke.....sitaki mwanamke mwenye mtoto na sitaki mwenye miaka zaid ya thelathin huyo ashazeeka kabisa kwangu....atak kimwana ambaye ametulia atakayenifanya nitulie forever tuenjoy life...sitaki stress any more....infact pia inatakiwa awe very beautiful...kama yupo wa hivyo tuwasiliane...hayupo wa hivyo nitajichagulia mwenyewe...mwanamme ni bidhaa adimu....inapojitoeza hivi nilitarajia majibu mazuri kutoka kwenu but matokeo yake mmeanza kashfa....mara mjane mara kitu gan........sijawah kuwa mjane na umri wangu sijazeeka hata kidogo...mshindwe na mlegee


hahahahahaas
yaliyomo yamo
 
Usikate tamaa mkuu, baada ya kusikia ww ni kada na mwanasiasa tokea kile chama kikongwe chenye mihela basi utpokea PMs nyingi sana. Nafikiri walikuwa hawajakuelewa ww ni nani???😀


hahahahaaaahahssss
hahahahahasaaahaaa
wanawske tuna kazi wallahi
 
naona nimeanza kupokea message za pm but hazifunguki....weken number tuwasiliane
 
Una miaka mingapi vile ewe kijana?! Kweli uzee mwisho "Chalinze"
 
yah mimi ni ccm damuuuu haswaaaaaaa,.....siwez jiunga na ukawa kamwe...ni mojawapo ya viongoz tena wakubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom