Natafuta mchumba.

haichekeshi...na inadharirisha wenye huo ulemavu...achana nayo


Kama ungeelewa nachomaanisha wala usingeandika ulichoandika na ndio maana ikaitwa The home of great thinkers.You need to be a great thinker to understand some members posts
 
afu mijitu (samahani kwa kuwaita mijitu) ya humu ndani facebook sijui inaionaje,kwa vile wabongo wengi wameigeuza kuwa sehemu ya kutongozana na kuuzia sura basi mmeishusha hadhi kwel kwel...lakini facebook inabaki kuwa the best social community application inakubalika kila sehem isipokua tu hapa JF
 
Kama hamjanielewa nipeni mji niwatafsirie maana ya post hii.Naona hakuna hata mmoja aliyegusia hata kidogo nilichomaanisha ila ukweli ni kuwa sina shida ya mchumba kama mnavyojaribu kunielewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom