Natafuta mchumba wa kiume

Nataka niongeze mke upo tayar kuwa second wife.

Ila kwanini usitafute kwenye cycle yako mfano kwenye wateja wako, nyumba ya ibada, school mates in all level of your education, mtaani Kwako,sokoni, kwenye jumuya mbali mbali utakazo jumuika e.t.c kwa Nini umekuja humu jukwaani

Tuachane na hayo..

Ntatimiza Majukumu kama baba wa familia Cha msingi uwe second wife

Motive behind

Ukoo wetu upo kwenye tishio la kutoweka maana tupo wachache so najitahid angalau niwe na watoto 10 mpaka 20 nipo kwenye huu mkakati wangu kuhakikisha ukoo wetu uendelee kuwepo kwenye hii dunia vizazi na vizazi.

Naomba kuwasilishaaa.
 
Mkuu kapicha ndo ako profile au kuna kengine ka ziada
 
Ntumie picha nikuone sasa, maake wauza cosmetics vs ngozi zao changamoto kidg
 
Wenye bahati zao i hope watakua washakupata. Nawatakia maisha mema na marefu.
Though na mimi nipo single😜
 
Nitafute, hope seriously..tunaweza onana...na kuongea hii issue...nipo interested pia, nipo dar now
 
Tangazo lako bado valid? Karibu tuwasiliane tuyajenge. Asante.
 
Njoo piem mrembo, bahati umesha ipata na nipo laivu endi singo boy...😘
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…