hapa naona kuwa ntajaolewa na mtu ni mtuTatizo nyie mko juu ya matumaini yenu kuliko mafanikio yenu. Mnataka kuolewa mpaka mpate PhD, na kazi juu-ukiangalia mfumo wa elimu ya kibongo ni 2+7+4+2+3/4+2+5 + ya kutafuta ajira=si chini ya 40years, na kwa kuwa jamii haijazoea mwanamke kumzidi umri mwanamme it means mume wa msomi huyu ni lazima awe over 40years(ambao ni wachache kukuta hawana back-to-house zao; kwa wale wa namba 1/4=.25 anakubali kuolewa kama mke wa pili/tatu au wa nne na anachukua fraction yake. Kwa wale 1/1=1 inakuwa mtihani hapo kupata wako wa peke yako. As graph approach to infinity, mdada anaona bora ajaribu bahati yake kwa yeyote yule aliye mbele yake japo kwa ku-refresh mind, wakitokea watatu na wote wamepita tu then jamii inakuona we kibuna njia so hata wale wakweli wana-disappear! Haaa, tahamaki mara 50years hiyo, baci unageukia usagaji na maisha ya uzee yanakuja. Kwa kutambua hili, ndo maana tunafanya tunavyofanyaaaa bi martyna wee!