KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Huyo binti atakua demu wa mjomba wako, mpaka apo hela zitakapomuishia afu anasepa.
Umeanza mawivu yako. Na mabinti wa siku hizi hatufai, akinikaribisha hapo kwa ankal nahamishia majeshi kwenye pensheni mie sikuja kuuza sura town
We si ndo ulikuja mjini na ndege wewe,,, dah mara hii unataka kuoa?
Kwanza hukutupa feedback ilikuwaje baada ya kutua JK Nyerere airport
Yan nakuonea huruma,Utachunwa wewe hadi ngozi..af afuate ankol wako wamchune kiinuamgongo choote..then na mabeg yenu mgongoni off to village,kwa msaada wa magari ya magazeti!!
Chezea Da'slama wewee...
Utakuja na sredi apa..ingia tu mzima mzima! Me nkajua hata either utaongeza elimu au bussiness! Unataka akil za Necta?!! Myman,em waza upya na jifunze kutoa fungu la kumi, husaidia kukupa neema ya kutumia hela na akili vzuri.
All the best,but be carefull!!
Unataka kuoa kwa hela ya mjomba!?
Duh
Anita Baby link hii hapa https://www.jamiiforums.com/habari-...a-ndege-kwa-mara-ya-kwanza-mnishauri-jmn.html jisomee kwa raha zako! Lol!hahaaa nipe hiyo link ya post niongeze cku mie.
Mimi ni kijana ambaye nina mwezi wa pili nipo dar ,nilikuja kwa mjomba,sasa amestaafu amepewa ela sa hv amenunua gari lake sio la ofisini tena, kwa hiyo nataka kuoa msichana ambaye amefaulu vizuri form four na high level awe amefaulu kawaida,wa chuo mpaka nimwambie mjomba,nimepewa chumba kimoja na mjomba majohe kuna umeme na maji ndio ntahamia, kwa sasa bado nipo nakaa kwa mjomba moshi bar mpaka nitakapopata mchumba nakaribisha maombi yote na wawe na umri kati ya miaka 18 hadi 25.
Hahahahha mbona sura yako ni kama Ruttashobolwa,ama tedo? Hahahhaahahah