Natafuta mchumba wa kike wa tajiri (Bosslady)

DEICHMANN

Senior Member
Sep 19, 2022
157
118
Natafuta mchumba kike awe tajiri.
Sifa zangu;

1. Mimi ni black kidogo.
2. Elimu yangu certificate ya Tehama.
3. Kazi yangu ya Wakala (usajili wa sim cards) wa Airtel, Vodacom Tanzania, Halotel Tanzania, Ttcl Tanzania na Tigo Tanzania.


Sifa zake huyo msichana;
1. Awe tajiri Boss lady.
2. Umri kuanzia 18 mpaka 31.
3. Rangi yoyote.
4. Elimu yoyote.
5. Mkoa wowote, akitokea Dar es Salaam ni vizuri zaidi. Now nipo Mkoa wa Ruvuma.
6. Awe mpole na mstaarabu.

Kama upo tayari njoo DM kwa mawasiliano zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom