rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 18,026
- 25,657
- Thread starter
- #21
Hamna tatizo mradi mawasiliano hata za kupanda nusu eka zinatosha.Unataka kiasi Gani?
Nitakutumia nitakazo Bure TU utalipia nauli kipindi unapokea ila utasubiri Hadi siku nafika mjini sitaiweza kutumia nauli zangu kwenda kutuma Bali nitata siku nikiwa na safari ya mjini(stend)
Shukrani mkuu