Natafuta matango pori(KARELA)

Natafuta matango pori(KARELA)

Hii ni habari njema Mdau..
Nina imani wapo wadau watakaoifurahia hii habari.
Nikikutana nayo kwenye mishemishe zangu nitakujulisha Bandugu.

asante ndugu nitashukuru sana
 
nijuze nami hio faid niyatafute

Ni dawa ya kisukari.ama diabets yana nguvu
kubwa ya kushusha sukari iliyojuu kama vile
sindano za insulin.badala ya kuchoma zile
sindano kila mara bas mgonjwa wako unampa
juice ya haya matango na sukar inakua normal
ila uaandaji wake ni tofauti kidogo na juice ya
kawaida.
 
kwa yeyote atakayeisaidia wapi nitapata Karela tafadhali.nipo Arusha ila hata wa mikoani nitapokea tu.tafadhali nijulisheni ama mwenye nayo anijulishe.asanteni.kwa ushirikiano wenu.

Yanapendwa sana na wahindi, jaribu kupitia soko linalopendwa na wahindi utayapata.
 
si ndo yale machungu au?....kama ni hayo niambie nikutafutie pale soko kuu kariakoo hakikosekani kitu.
 
Yanapendwa sana na wahindi, jaribu kupitia soko linalopendwa na wahindi utayapata.

yaani jomba nimetafuta acha tu..Nakumatt hapa Arusha hakuna soko kuu hakuna lada dar
 
si ndo yale machungu au?....kama ni hayo niambie nikutafutie pale soko kuu kariakoo hakikosekani kitu.

ni hayohayo GJ hujakosea.nifanyie mpango basi ntakupa commission
 
yaani jomba nimetafuta acha tu..Nakumatt hapa Arusha hakuna soko kuu hakuna lada dar
kuna mama mmoja ana mashamba makubwa ya vegetables hapa Arusha ngoja nimuulize alafu nitakuPM..

33jnsr5.jpg
 
Mimi ninavyo vidonge Capsule za karela kutoka India ukihitaji ni pm
 
no need ya commission ndugu...nimechelewa kuiona hii reply but kesho nitajitahidi kuyatafuta cas nitakuwepo pale shimoni...unahitaji kiasi gani kwani.
 
no need ya commission ndugu...nimechelewa kuiona hii reply but kesho nitajitahidi kuyatafuta cas nitakuwepo pale shimoni...unahitaji kiasi gani kwani.

asante nashukuru.vip umeyaona?
 
Hili tango katika picha linatambulika kwa jina la " Bitter melon" lina virutubisho vingi na dawa ya maradhi mengi ikiwa ni pamoja na kupunguza sukari mwilini , maradhi ya tumbo , ngozi n.k. Tango hili linatumiwa sana na ndugu zetu wa asili ya ki- asia. Mahari ambapo kwa uhakika unaweza pata ni ni mitaaya mkunguni au uhindini jijini Dar es salaam . Maeneo hayo kuna wachuuzi wengi wa kitanzania wanauza mbogamboga au vegetables ambazo sio rahisi kuzikuta ktk masoko ya kawaida. Pia sokoni Kariakoo kwenye jengo la zamani sio lile jengo kubwa. Hapo napo unaweza bahatisha kupata . Ingawaje wauzaji wengi hupendelea kwenda mitaa ya uhindini kwani kuna wateja wengi zaidi.. Bahati mbaya muda hautoshi ningweza kukutafutia mbegu zake ili uwe na constant supply
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom