kwa yeyote atakayeisaidia wapi nitapata Karela tafadhali.nipo Arusha ila hata wa mikoani nitapokea tu.tafadhali nijulisheni ama mwenye nayo anijulishe.asanteni.kwa ushirikiano wenu.
kwa yeyote atakayeisaidia wapi nitapata Karela tafadhali.nipo Arusha ila hata wa mikoani nitapokea tu.tafadhali nijulisheni ama mwenye nayo anijulishe.asanteni.kwa ushirikiano wenu.
click hapo uyaone kama huyafaham matango pori.
google.com/images?q=karela&client=ms-opera-mini-android&channel=new&gws_rd=cr&hl=en&sa=X&oi=image_result_group&ei=swEXVNXxCo7qONXDgPgC&ved=0CAsQsAQ
kwa yeyote atakayeisaidia wapi nitapata Karela tafadhali.nipo Arusha ila hata wa mikoani nitapokea tu.tafadhali nijulisheni ama mwenye nayo anijulishe.asanteni.kwa ushirikiano wenu.
Gosh! what can i do? labda yapo ya akiba ndugu zangu nisaidieni tafadhali
Yana kazi gani hayo matango ameline?
Labda inawezekana na wengine tunapaswa kuyahitaji ila bado hatujajua.
Hebu tufumbue macho na sisi wengine Mdau.
Ni dawa ya kisukari.ama diabets yana nguvu kubwa ya kushusha sukari iliyojuu kama vile sindano za insulin.badala ya kuchoma zile sindano kila mara bas mgonjwa wako unampa juice ya haya matango na sukar inakua normal ila uaandaji wake ni tofauti kidogo na juice ya kawaida.
Yana kazi gani hayo matango ameline?
Labda inawezekana na wengine tunapaswa kuyahitaji ila bado hatujajua.
Hebu tufumbue macho na sisi wengine Mdau.