richie de king
Member
- Jun 22, 2017
- 8
- 1
Habar zenu wadau! Hope mnaendelea vzuri na miangaiko ya hapa na pale. Naulizia mashamba ya kukodi au kununua kwa mkoa wa Geita. Vigezo ni maji yawe krb either krb na mto au ziwa na liwe virgin af bei nafuu, maana hari ya uchumi nafkir mnaifaham kwa sasa