Natafuta mashamba ya kilimo Geita

Jun 22, 2017
8
1
Habar zenu wadau! Hope mnaendelea vzuri na miangaiko ya hapa na pale. Naulizia mashamba ya kukodi au kununua kwa mkoa wa Geita. Vigezo ni maji yawe krb either krb na mto au ziwa na liwe virgin af bei nafuu, maana hari ya uchumi nafkir mnaifaham kwa sasa
 
Nitafute kwa namba 0628944712 tuwasiliane mie nipo Geita na pia ni mwenyeji kwa maeneo mengi sana
Sasa mkuu fanya kutoa maelezo ya hayo mashamba hapa kwa sababu huenda kuna watu wengi wanahitaji ukawa umewasaidia hata kama utataka udalali poa tu.Toa bei kwa kununua na kukodi
 
Back
Top Bottom