Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Nataka niwe karibu na sana na mungu.
Mimi ni mkristo natafuta marafiki walio okoka,
watakao nifanya nisiambatane na yale makundi niliyokuwa naongozana nayo.
Yale ya walevi.
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.
Asanteni sana.
Mimi ni mkristo natafuta marafiki walio okoka,
watakao nifanya nisiambatane na yale makundi niliyokuwa naongozana nayo.
Yale ya walevi.
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.
Asanteni sana.