Natafuta marafiki wa kiroho.

Nataka niwe karibu na sana na mungu.
Mimi ni mkristo natafuta marafiki walio okoka,
watakao nifanya nisiambatane na yale makundi niliyokuwa naongozana nayo.
Yale ya walevi.
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.
Asanteni sana.

Kuna wakati Yesu alikutwa akiwa na watu huenda wanafanana na hao marafiki zako.Watu wakashangaa kwanini anaambatana na watu kama hao.Aliwajibu: mtu mzima hahitaji daktari bali mgonjwa na nilkuja kuwakomboa wenye dhambi.Hivyo utagundua kuwa watu kama rafiki zako huwa hatujitengi nao ila tunajichanganya nao.Nenda nao popote wapende.mkifika sehemusehemu wao wakiagiza bia wewe agiza soda,watashangaa,utawaeleza sababu ya kubadilika iwapo watakuuliza.wakifanya uzinzi wewe usifanye. Oda ya KUKU choma au supu au nyama choma ikifika mezani wao watakapovamia na kuanza kula,wewe fumba macho SALI kabla ya kula. Hapo utakuwa umefanya kazi kubwa zaidi ya mahubiri, utakuwa TAA na chumvi kwao, itafika wakati watagundua kuwa maisha yako ni bora kuliko wao.HATUWACHUKII AU KUWATENGA WENYE DHAMBI.BALI TUNAICHUKIA NA KUITENGA DHAMBI.Yesu angetutenga au kutuchukia ANGEKUJA duniani?...........HATA HIVYO HUO NI MTAZAMO WANGU.JICHANGANYE NAO TU NA USIACHE MAOMBI.
 
Nataka niwe karibu na sana na mungu.
Mimi ni mkristo natafuta marafiki walio okoka,
watakao nifanya nisiambatane na yale makundi niliyokuwa naongozana nayo.
Yale ya walevi.
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.
Asanteni sana.

Acha kutuyeyusha wewe unatafuta mbinu za kubana matumizi kwani umeambiwa dhambi ni pombe peke yake mbona milupo uliyokuwa nayo huitaji!!!
 
Tutubu na kuiamini injili! kwani hatujui sikuw a saa atakapokuna mwana wa mungu....all the best bujibuji karibu jumapili kwa mchungaji mama lwakatare Mikocheni...
 
Mwenyezi Mungu akutie nguvu, anza kusoma vitabu vinavyoendana na maadili ya kikiristu, mwenyezi Mungu atakujaza ufahamu na kushinda mitego yote ya shetani.
Ubarikiwe sana. Amen
 
Kwa hiyo marafiki wa kiroho ni wasiokunywa pombe? Au wanaokusaidia kumcha Mungu? Kuna watu hawanywi pombe lakini amri za shetani wanazitekeleza kweli kweli.
 
Ubarikiwe na bwana ....

Mwenzio anakuomba urafiki wa kiroho muishi pamoja kiroho wewe unamwaga mibaraka tu ebo - hebu rejea fungu hili:

"If a brother or sister is naked and destitute of daily food, and one of you says to them, “Depart in peace, be warmed and filled,” but you do not give them the things which are needed for the body, what does it profit? Thus also faith by itself, if it does not have works, is dead" - James 2:15-17
 
Amen.
Ubarikiwe sana.
Kuna wakati Yesu alikutwa akiwa na watu huenda wanafanana na hao marafiki zako.Watu wakashangaa kwanini anaambatana na watu kama hao.Aliwajibu: mtu mzima hahitaji daktari bali mgonjwa na nilkuja kuwakomboa wenye dhambi.Hivyo utagundua kuwa watu kama rafiki zako huwa hatujitengi nao ila tunajichanganya nao.Nenda nao popote wapende.mkifika sehemusehemu wao wakiagiza bia wewe agiza soda,watashangaa,utawaeleza sababu ya kubadilika iwapo watakuuliza.wakifanya uzinzi wewe usifanye. Oda ya KUKU choma au supu au nyama choma ikifika mezani wao watakapovamia na kuanza kula,wewe fumba macho SALI kabla ya kula. Hapo utakuwa umefanya kazi kubwa zaidi ya mahubiri, utakuwa TAA na chumvi kwao, itafika wakati watagundua kuwa maisha yako ni bora kuliko wao.HATUWACHUKII AU KUWATENGA WENYE DHAMBI.BALI TUNAICHUKIA NA KUITENGA DHAMBI.Yesu angetutenga au kutuchukia ANGEKUJA duniani?...........HATA HIVYO HUO NI MTAZAMO WANGU.JICHANGANYE NAO TU NA USIACHE MAOMBI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom