FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Firstlady, I love your quotation hapo chini kuhusu kitabu cha Malaki. may God bless you.
Asante sana UbungoUbungo...unaweza kumsaidia Bujibuji kiroho?
Firstlady, I love your quotation hapo chini kuhusu kitabu cha Malaki. may God bless you.
Nataka niwe karibu na sana na mungu.
Mimi ni mkristo natafuta marafiki walio okoka,
watakao nifanya nisiambatane na yale makundi niliyokuwa naongozana nayo.
Yale ya walevi.
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.
Asanteni sana.
Nataka niwe karibu na sana na mungu.
Mimi ni mkristo natafuta marafiki walio okoka,
watakao nifanya nisiambatane na yale makundi niliyokuwa naongozana nayo.
Yale ya walevi.
Nimejaribu kuwaacha, lakini najikuta nimekuwa mpweke sana, kiasi cha kuwapigia simu na kurudi tena kwenye ma jack daniel's, konyagi, barcadi na mijitu mingine ya aina hiyo.
Asanteni sana.
Ubarikiwe na bwana ....
Kuna wakati Yesu alikutwa akiwa na watu huenda wanafanana na hao marafiki zako.Watu wakashangaa kwanini anaambatana na watu kama hao.Aliwajibu: mtu mzima hahitaji daktari bali mgonjwa na nilkuja kuwakomboa wenye dhambi.Hivyo utagundua kuwa watu kama rafiki zako huwa hatujitengi nao ila tunajichanganya nao.Nenda nao popote wapende.mkifika sehemusehemu wao wakiagiza bia wewe agiza soda,watashangaa,utawaeleza sababu ya kubadilika iwapo watakuuliza.wakifanya uzinzi wewe usifanye. Oda ya KUKU choma au supu au nyama choma ikifika mezani wao watakapovamia na kuanza kula,wewe fumba macho SALI kabla ya kula. Hapo utakuwa umefanya kazi kubwa zaidi ya mahubiri, utakuwa TAA na chumvi kwao, itafika wakati watagundua kuwa maisha yako ni bora kuliko wao.HATUWACHUKII AU KUWATENGA WENYE DHAMBI.BALI TUNAICHUKIA NA KUITENGA DHAMBI.Yesu angetutenga au kutuchukia ANGEKUJA duniani?...........HATA HIVYO HUO NI MTAZAMO WANGU.JICHANGANYE NAO TU NA USIACHE MAOMBI.