Natafuta mahali wanauza makoti ya suti Dsm

BigBaba

JF-Expert Member
Feb 7, 2017
1,908
9,040
Wakuu,

Natafuta mahali hapa Dsm wanapouza makoti ya suti ya kisasa ya mtumba nataka nijitupie koti kazaa nibadirishe muonekano.

Mtu anayejua maeneo hapa Dsm naweza pata mzigo huo alielekeze asanteni.
 
Hongera mkuu. Nenda pale Karume, mbele kidogo ya TBL utapata makoti kadhaa... Juzi kati na mie nilinunua kamoja... Basi tangu nikavae hako kakoti, kila nikipita nilikuwa napata red carpet treatment... Kweli nimeamini muonekano hasa wa kimavazi unachangia kubadilisha perception ya watu...
Pia waweza kujaribu Posta mpya pale karibu na mnara wa askari kuna watu wanatembeza makoti utayapata kibao.
 
Hongera mkuu. Nenda pale Karume, mbele kidogo ya TBL utapata makoti kadhaa... Juzi kati na mie nilinunua kamoja... Basi tangu nikavae hako kakoti, kila nikipita nilikuwa napata red carpet treatment... Kweli nimeamini muonekano hasa wa kimavazi unachangia kubadilisha perception ya watu...
Pia waweza kujaribu Posta mpya pale karibu na mnara wa askari kuna watu wanatembeza makoti utayapata kibao.
asante mkuu nitajaribu kwenda hapo karume nikacheki mana nataka kubadili muonekano mkuu
 
Kuna Maonyesho Diamond Jubilee
Ya Vitu Kutoka Syria Ukifika Pale Utapata Makoti Safi.

Maonyesho Yameanza Leo Hadi Mei 8
 
asanteni sana wakuu jumapili ndo nataka nikachukue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom