Natafuta Kunguru! tsh 7000 kwa kila mmoja

Natafuta Kunguru! tsh 7000 kwa kila mmoja

This is JF mkuu chill, huwezi zuia mawazo ya watu we focus na watakaokupatia msaada wa kuwapata comments zingine potezea. Itakusaidia......kunguru hafugiki, haliwi, sa tujiulizeje kwa mfano🤣🤣
"sa tujiulizeje kwa mfano" hii kauli ina utata kwa kina! wewe ni me au ke? anyway nani kasema haliwi!! nani kasema ukila kunguru unakufa?
 
363832.jpg
 
"sa tujiulizeje kwa mfano" hii kauli ina utata kwa kina! wewe ni me au ke? anyway nani kasema haliwi!! nani kasema ukila kunguru unakufa?
Jitahidi upeleke ulichoagizwa mkuu, wangu anaelekea kumaliza kuku wangu bila mafanikio ukifanikiwa utaniambia nihamie huko😉
 
Kuna mzee mmoja kitambo, mitaa ya Polisi Ufundi pale Kurasini, akiitwa Lyimo alikuwa anawatega kwa ULIMBO!
Ule ulimbo sijui alikiwa anapata wapi yule Mzee. Alikuwa anawalamata kinoma, kwenye mti wa Mwarobaini.
Utakuta tuu wamening'nia hapo kichwa chini miguu juu. Ulimbo umenasa miguu. Alikokuwa anawapeleka hatujui. 😁

Kunguru kama alivyo ndege mwingine, miguu yake inafunga mti anaotua kama, miguu yake ni kama kamba. Akitua kwenye Ulimbo hatoki hapo hata apambane vipi.
 
Mkuu timbwiri la kunguru lisikie tu sio la kushuhudia!

Mwaka 2000 na utabe wangu nilijifanya nunda nikapanda juu ya mwembe kwenda kuharibu kiota cha kunguru...
Kitendo cha kukifikia kile kiota, yule kunguru aliyekuwa kaatamia mayai aliniparua na kucha zake akaanza kupiga kelele sekunde 30 nyingi lilikuja kundi kubwa la kunguru ghafla mwembe ukawa mweusi tii jeshi la kunguru likaanza kunichachafya ikabidi nijiachie toka juu mpaka karibu na chini nikadaka tawi.

Kumshika kunguru akiwa mzima ni hatari sana unaweza kuambulia upofu.
 
Huyo kunguru unayemtafuta alipotea lini, wapi, na alikuwa wa rangi gani. Cha kwanza kunguru haliwi na hafugiki na hata zanzibar niliskia serikali imetenga fungu la hela la kuangamiza kunguru coz wamekuwa wengi mno. Wewe na huyo mganga wako ipo cku yatawarudia. Au unataka uwanunue wengi kwa f7 afu mwisho wa siku uje uwauzie hao hao walokuuzia kwa f20 wabaki na makunguru yao usepe. Nimekuwa nikijua kunguru ni yule mvaa kikoti cheupe after kutembe nkakutana blackfull na wewe leo unakuja na story za kuwanunua. Kweli nimeamini sijaona mambo.
 
Back
Top Bottom