halafu uje umshikishe bomba enheeee....jaman mie naanza mapema kabisa kutafuta wakunibeba kwa wale wenye division 1 na 2 mnaokuja udsm naomba yeyote anitext 0685 722133-nitalipia semister moja afu nyingine utalipia wewe,kwa wasiojua maana ya kubebwa ukija udsm utajua 2'''karibuni sana
Jaman mie naanza mapema kabisa kutafuta wakunibeba kwa wale wenye division 1 na 2 mnaokuja udsm naomba yeyote anitext 0685 733122-NITALIPIA SEMISTER MOJA AFU NYINGINE UTALIPIA WEWE,kwa wasiojua maana ya kubebwa ukija udsm utajua 2'''KARIBUNI SANA
Mi nilim'beba mtu mwaka 1996/97 pale hall 2 floor ya 3 na nikabebwa hall 5 floor ya nane vile vyumba vikubwa vya pembeni,mwaka 1997/98/99, na 1999/2000 nilim'beba mtu pale hall six... Hivyo naelewa sana unapoongelea maswala ya kubebwa/kubeba....amna bomba kaka 0685733122 ndo namba yangu
Inategemea ameingiaje... Enzi zetu huyo kaingia kwa mature age entry.... si ilikuwa kila unayemwona, kaacha historia ya DEV 1 toka form 4 hadi form 6 au kapata pass za juu sana akiwa anatoka FTC.... Yaani una average ya B, na ikiwemo B ya namba. Hayo ya kuingiza Dev 3, nadhani kama yapo basi ni ya siku hizi...NANI KASEMA UDSM NI WENYE ONE NA TWO?? MPAKA threee wapo wengi sana
ahsante kaka nadhan ushapitia life la udsm kama sikosei
poa ngoja nikucheck ila demu wangu ni mwoga kichz ngoja nimset kwanza