Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
Magomeni hapajanichosha, ila kubadili mazingira si vibaya.
Natafuta kiwanja Mbezi Beach.
Gharama ya kiwanja 5 milioni TZsh, tunaweza kuzungumza vile vile.
Ukubwa wa kiwanja si ajenda kubwa.
Ni wale watu makini katika swala hili tu ndio waje na maoni yao.
Asanteni.
Natafuta kiwanja Mbezi Beach.
Gharama ya kiwanja 5 milioni TZsh, tunaweza kuzungumza vile vile.
Ukubwa wa kiwanja si ajenda kubwa.
Ni wale watu makini katika swala hili tu ndio waje na maoni yao.
Asanteni.