Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,621
- 11,631
ni pm no yako kesho na trip ya airport
Nilichelewa kuona ujumbe ndg. Naku PM namba yangu
ni pm no yako kesho na trip ya airport
Dukani kwangu Ukonga Dar nauza elfu 99 kipya hakijafunguliwa, pamoa na accessories zooote na waya
Hizo ving'amuzi vya Azam bado unazo kaka?
Hizo ving'amuzi vya Azam bado unazo kaka?
Mbote na yo moninga. Ozali malamu?Mkuu habari ya Goma, maana nahisi hii kiswahili ya bakongoman
Haya Linamo najua kaisha uza chake.
Mliobakia hiki hapa chini.Maana mlinzi wangu lindo linamshinda kwa kuzubalia Tv.
Ukiwa Dar Tsh:50,000 ,maana issue za kumpa staff wa boat hapo
Kama upo Zanzibar 45,000 mlangoni kwako.Au kama unajamaa Zanzibar naweza kumuagiza mtu ampelekee,maana nipo out of Nchi hadi uchaguzi uishe.
.
View attachment 295184View attachment 295186View attachment 295187
Tulioko mikoani? Nyanda za juu kusini tutapataje?
Zanzibar Spices mkuu nimekuchek PM
Tulioko mikoani? Nyanda za juu kusini tutapataje?