Natafuta king'amuzi cha Azam (used)

Natafuta king'amuzi cha Azam (used)

Tafuta Dish,nikuuzie Dekoda tupu safiii.

Maana kuusafirisha Mdish mpaka Dar ni issue.


Ukiwa tayari nitafute
 
Njoo nikuuzie decoder dish nalitumia
 
Mm ninatafuta mtu mwenye king'amuzi cha azam ili tubadilishane na cha dstv au kama Luna anayetaka kununua cha dstv nauza kwa shilingi elf 90 ya kitanzania. Namba yangu 0658283200
 
Mm ninatafuta mtu mwenye king'amuzi cha azam ili tubadilishane na cha dstv au kama Luna anayetaka kununua cha dstv nauza kwa shilingi elf 90 ya kitanzania. Namba yangu 0658283200

kwani bei yake sh ngapi kikiwa kipya
 
nahitaji mkuu sema niko maeneo ya tegeta napataje?

Ishu ni namna ya kukufikia sasa, hasa suala la usafiri!
Siku ukiwa na trip za ama Buguruni au Kariakoo ama maeneo ya karibu na hayo nishtue, nitakuletea.
 
Ishu ni namna ya kukufikia sasa, hasa suala la usafiri!
Siku ukiwa na trip za ama Buguruni au Kariakoo ama maeneo ya karibu na hayo nishtue, nitakuletea.

ni pm no yako kesho na trip ya airport
 
Back
Top Bottom