Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,419
- 15,974
Subiri mad max akuletee mrejesho. Km atanikuta mimi ni mwanamke au lah. Nilichogundua baadhi ya wanaume wa jf ni hawana nidhamu, usimuone mtu ameelezea shida yake, hitaji lake na Kazi yake, km ni mschana bs utataka umtongoze na ujaribu imani yake. Narudia tena usitake nitume msg zako zote za inbox ulizotuma, kwa kisingizio eti unataka unipe Kazi ya sheli. Kazi ya sheli na kutuma picha ya kuthaminisha inahusiana na nini?. Kwa hiyo km ni mwanamke nimekuja kuomba ndiyo untk nijirahisishe kutembea na ww ili nipate hiyo Kazi?. Sihitaji msaada wako ndiyo mn nimekupotezea. Kuwa mstaarabu kwenye mada za watu.
ukute wewe ndio madmax mwenyewe
hhahahhahhahahaaaaaacha utapeli mkuu mimi nikekupa muongozo nini chakufanya sijakutongoza ila nilikuomba picha makusudi huwezi kumsaidia mtu ambaye hata sura hujaiona kama shida yako ilikuwa kazi sura unaificha yanini endelea kuomba huruma ya kufua nguo bwana ila unachokitaka utakipata kwa wakati....tahadhari tuu kwa wanajf huyu mtu sio mwema.