border mc
Member
- Sep 19, 2023
- 41
- 43
Mimi natokea bagamoyo, nipo nasoma katika Taasisi ya sanaa na utamaduni bagamoyo
Bado niko mwaka wa kwanza, semester ya pili, sasa hapa kati yalinikuta matatizo yakasababisha nitumie nusu ya ada yangu ya semester ya pili ili kuyasolve
Hivi sasa nadaiwa kiasi kadhaa chuo na karibuni hivi tunaanza mitihani
Naomba kwa mwenye kibarua chochote ambaye anapatikana bagamoyo au karibu na bagamoyo anisaidie hicho kibarua ili niweze kupata pesa ya kumalizia ada chuoni
NB.
Nafanya kazi ya aina yoyot
Mawasiliano 0682019085
Natanguliza shukrani
Bado niko mwaka wa kwanza, semester ya pili, sasa hapa kati yalinikuta matatizo yakasababisha nitumie nusu ya ada yangu ya semester ya pili ili kuyasolve
Hivi sasa nadaiwa kiasi kadhaa chuo na karibuni hivi tunaanza mitihani
Naomba kwa mwenye kibarua chochote ambaye anapatikana bagamoyo au karibu na bagamoyo anisaidie hicho kibarua ili niweze kupata pesa ya kumalizia ada chuoni
NB.
Nafanya kazi ya aina yoyot
Mawasiliano 0682019085
Natanguliza shukrani