border mc
Member
- Sep 19, 2023
- 41
- 43
Naombeni msaada kwa watu ambao wako Bagamoyo ama karibu na Bagamoyo yeyote ambaye atakuwa na kibarua cha kufanya kwa siku anisaidie niweze kupata ili nipate pesa niweze kujikimu binafsi
Iwe ni kuchimba mitaro, kujenga(saidia fundi), kulima, kufyeka, kujaza kifusi, kuchimba mashimo, kiufupi zile kazi zote za vibarua mimi naweza kufanya nikipata
Mawasiliano 0682019085
Napatikana Bagamoyo pia kama mtu uko dar na kuna hizo kazi pia naweza kufika
Natanguliza shukrani
Iwe ni kuchimba mitaro, kujenga(saidia fundi), kulima, kufyeka, kujaza kifusi, kuchimba mashimo, kiufupi zile kazi zote za vibarua mimi naweza kufanya nikipata
Mawasiliano 0682019085
Napatikana Bagamoyo pia kama mtu uko dar na kuna hizo kazi pia naweza kufika
Natanguliza shukrani