muathirika wa kufiwa au wa kitu gani?Una lengo zuri la kumhudumia muathirika baada ya kunyanyapaliwa na jamii, hongera.
mmmh!mkewe alikuwa anampa vitu adhimu!!!utampa na wewe!!!Asante.
Pia nitajitahidi kumsahaulisha machungu ya mkewe.
Mimi ni Mdada niliyemaliza form Six, na kwa sasa sina ajira yoyote.
Ila nahitaji kufanya kazi za ndani (U-housegirl) kwa mwanaume ambae amefiwa na mkewe (Mgane)
Mimi ni mwaminifu,
Mcha Mungu,
Msafi na Nina Upendo.
Nitamuhudumia kwa Upendo wa Kweli.
Mshahara: Maelewano ila kuanzia 80,000/=
NOTE:
Sihitaji kufanya kazi kwa mwanaume ambae hajaoa,yaani bachela,maana huwa ni wasumbufu sana kila ifikapo mwisho wa mwezi.
Alie tayari ani-PM
Mimi ni Mdada niliyemaliza form Six, na kwa sasa sina ajira yoyote.
Ila nahitaji kufanya kazi za ndani (U-housegirl) kwa mwanaume ambae amefiwa na mkewe (Mgane)
Mimi ni mwaminifu,
Mcha Mungu,
Msafi na Nina Upendo.
Nitamuhudumia kwa Upendo wa Kweli.
Mshahara: Maelewano ila kuanzia 80,000/=
NOTE:
Sihitaji kufanya kazi kwa mwanaume ambae hajaoa,yaani bachela,maana huwa ni wasumbufu sana kila ifikapo mwisho wa mwezi.
Alie tayari ani-PM
Mimi ni Mdada niliyemaliza form Six, na kwa sasa sina ajira yoyote.
Ila nahitaji kufanya kazi za ndani (U-housegirl) kwa mwanaume ambae amefiwa na mkewe (Mgane)
Mimi ni mwaminifu,
Mcha Mungu,
Msafi na Nina Upendo.
Nitamuhudumia kwa Upendo wa Kweli.
Mshahara: Maelewano ila kuanzia 80,000/=
NOTE:
Sihitaji kufanya kazi kwa mwanaume ambae hajaoa,yaani bachela,maana huwa ni wasumbufu sana kila ifikapo mwisho wa mwezi.
Alie tayari ani-PM
Mimi ni Mdada niliyemaliza form Six, na kwa sasa sina ajira yoyote.
Ila nahitaji kufanya kazi za ndani (U-housegirl) kwa mwanaume ambae amefiwa na mkewe (Mgane)
Mimi ni mwaminifu,
Mcha Mungu,
Msafi na Nina Upendo.
Nitamuhudumia kwa Upendo wa Kweli.
Mshahara: Maelewano ila kuanzia 80,000/=
NOTE:
Sihitaji kufanya kazi kwa mwanaume ambae hajaoa,yaani bachela,maana huwa ni wasumbufu sana kila ifikapo mwisho wa mwezi.
Alie tayari ani-PM