Natafuta kazi, nina Diploma ya Music Production

May 20, 2020
6
2
Nmemaliza chuo tangu 2020
Nina diploma ya Music production.

Ni kijana wa miaka 23
Na weza kucheza baadhi ya Instrument Keyboard, guiter Acoustic, solo guiter, Bass guiter pia ni Mwalimu mzuri kwa watu wenye interest ya Kujifunza.

Naweza kufundisha Watoto kwa wenye uhitaji wa kujifunza Muziki
Kwaiyo Ndugu zangu wa JF kam kuna mtu bend au kanisa even studio inatafuta Mtu wa Usimamizi wa maswala ya Music Anaweza kunicheki natanguliza Shukrani zangu✊🙏🙏🙏
0688136549
Dar es salaam
 
Nmemaliza chuo tangu 2020
Nina diploma ya Music production.

Ni kijana wa miaka 23
Na weza kucheza baadhi ya Instrument Keyboard, guiter Acoustic, solo guiter, Bass guiter pia ni Mwalimu mzuri kwa watu wenye interest ya Kujifunza.

Naweza kufundisha Watoto kwa wenye uhitaji wa kujifunza Muziki
Kwaiyo Ndugu zangu wa JF kam kuna mtu bend au kanisa even studio inatafuta Mtu wa Usimamizi wa maswala ya Music Anaweza kunicheki natanguliza Shukrani zangu✊🙏🙏🙏
0688136549
Dar es salaam
Andika Proposal yako nzuri kisha peleka katika Mabenki ili uombe Mkopo uanzishe Chuo chako ujilipe na uwalipe na Wao.
 
Jaribu kucheki kwenye hizi shule za English medium wanaweza kuwa na program za kufundisha Music...huwa kuna vile vipindi vinaotwa "Option".
 
Nmemaliza chuo tangu 2020
Nina diploma ya Music production.

Ni kijana wa miaka 23
Na weza kucheza baadhi ya Instrument Keyboard, guiter Acoustic, solo guiter, Bass guiter pia ni Mwalimu mzuri kwa watu wenye interest ya Kujifunza.

Naweza kufundisha Watoto kwa wenye uhitaji wa kujifunza Muziki
Kwaiyo Ndugu zangu wa JF kam kuna mtu bend au kanisa even studio inatafuta Mtu wa Usimamizi wa maswala ya Music Anaweza kunicheki natanguliza Shukrani zangu
0688136549
Dar es salaam

Nenda Congo ( DRC)
 
Nmemaliza chuo tangu 2020
Nina diploma ya Music production.

Ni kijana wa miaka 23
Na weza kucheza baadhi ya Instrument Keyboard, guiter Acoustic, solo guiter, Bass guiter pia ni Mwalimu mzuri kwa watu wenye interest ya Kujifunza.

Naweza kufundisha Watoto kwa wenye uhitaji wa kujifunza Muziki
Kwaiyo Ndugu zangu wa JF kam kuna mtu bend au kanisa even studio inatafuta Mtu wa Usimamizi wa maswala ya Music Anaweza kunicheki natanguliza Shukrani zangu
0688136549
Dar es salaam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom