Dee_Aristotle
Member
- May 29, 2021
- 54
- 30
Habari zenu wanajamii,
Mimi ni kijana wa kitanzania, nina miaka 24, mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Nimesomea shahada ya sanaa katika isimu na fasihi (Bachelor of Arts in linguistics and literature). Mbali na elimu niliyosomea nina ujuzi na computer applications.
Natafuta nafasi ya kujitolea katika taasisi binafsi yoyote ile au NGO yoyote ile Dar es salaam inayojihusisha na masuala ya kielimu. Lengo ni kupata uzoefu wa kufanya kazi na taasis binafsi au NGO kwa muda wa mwaka 1+
Mawasiliano;
0783 949 279
Dar es salaam
Ahsanteni 🙏
Mimi ni kijana wa kitanzania, nina miaka 24, mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Nimesomea shahada ya sanaa katika isimu na fasihi (Bachelor of Arts in linguistics and literature). Mbali na elimu niliyosomea nina ujuzi na computer applications.
Natafuta nafasi ya kujitolea katika taasisi binafsi yoyote ile au NGO yoyote ile Dar es salaam inayojihusisha na masuala ya kielimu. Lengo ni kupata uzoefu wa kufanya kazi na taasis binafsi au NGO kwa muda wa mwaka 1+
Mawasiliano;
0783 949 279
Dar es salaam
Ahsanteni 🙏