FIKRA MBADALA
Senior Member
- Jun 30, 2008
- 167
- 16
WanajamiiF kazi hizi za usalama wa taifa zipo ila ni kwa nini wewe uone kazi ni usalama wa taifa tu......baba yangu ni mkulima wa mpunga na mahindi na yeye pia ni usalama wa taifa...''he is a national security officer to secure the nation from being affected by famine okey you can judge yourself under any aspect like my father as well as me myself I am a carpenter''....msing'ang'anie kazi huenda Mungu anataka kukuepusha na uuaji...because si wote wanashika peni wengine wanashika bastola kuwaua wema.
kazi kweli kweli mtu anaomba kazi wewe unamtishia