ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 685
- 1,612
Habari za wakati huu wakuu, naomba mwenye kampuni yeyote ya clearing and forwarding au anayeweza kunipa connection ya wanafunzi zaidi ya 10 kupata field ndani ya dar es salaam ani PM.
Weka bei yako kila mwanafunzi mmoja akipokelewa nikupe kiasi gani wanafunzi wapo wengi.
Note: Kipindi cha field ni miezi mitatu wanafunzi watakaa, na vitu muhimu ambavyo wanatakiwa kujifunza ni declaration, operation and documentation.
Naomba kuwasilisha.
Weka bei yako kila mwanafunzi mmoja akipokelewa nikupe kiasi gani wanafunzi wapo wengi.
Note: Kipindi cha field ni miezi mitatu wanafunzi watakaa, na vitu muhimu ambavyo wanatakiwa kujifunza ni declaration, operation and documentation.
Naomba kuwasilisha.