Jaman wanajamvi mim ni mhanga wa unempolyment ...Natafuta kazi...
Mim nina shahada ya uhasibu,CPA na uzoefu wa miaka 3...Nililazika kuacha kazi na kwenda kuuguza kijijin kwa mieza saba mfululizo ....Cha kusikitisha nilieenda kumuuguza naye mungu alumpenda zaidi....ni muda sasa toka nianze kifafuta ajira bila mafanikio...Nimeona bora nilete shida zangu huku may be ntasaidika.
Mim nina shahada ya uhasibu,CPA na uzoefu wa miaka 3...Nililazika kuacha kazi na kwenda kuuguza kijijin kwa mieza saba mfululizo ....Cha kusikitisha nilieenda kumuuguza naye mungu alumpenda zaidi....ni muda sasa toka nianze kifafuta ajira bila mafanikio...Nimeona bora nilete shida zangu huku may be ntasaidika.