Charlesnbundalah
New Member
- Sep 15, 2022
- 3
- 1
Habari ndugu zangu naitwa Charles mimi naomba mwenye connection ya kazi/ kibarua cha halali anisaidie kuniunganisha kwa maeneo ya Dar es Salaam maana nilikuwa nafanya biashara sasa kulingana na ya uchumi mtaji wangu umekata.
Nipo hapa kuwaomba ndugu zangu mnisaidie nipate kazi ili niweze kujikwamua na niweze kuboost mtaji wangu tena.
Kwa atakayeguswa anicheki no 0743350335
Nipo hapa kuwaomba ndugu zangu mnisaidie nipate kazi ili niweze kujikwamua na niweze kuboost mtaji wangu tena.
Kwa atakayeguswa anicheki no 0743350335