southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 826
- 1,017
Habari wakuu, nisaidieni kijana wenu nipate kibarua chochote nipate hata njia ya kukusanya mtaji.
Hata mwenye connection naomba anisaidie nimekwama huku mtaani hata kuchimba mifereji nayo bila connectio ni ngumu kupata.
Ninafanya kazi yoyote ile ya kutumia nguvu au hata za sales na marketing nafaanya pia naweza kutumia computer ms excel, word pia nina mafunzo ya Jkt kujitolea, kwa atayeguswa naomba msaada wake.
Hata mwenye connection naomba anisaidie nimekwama huku mtaani hata kuchimba mifereji nayo bila connectio ni ngumu kupata.
Ninafanya kazi yoyote ile ya kutumia nguvu au hata za sales na marketing nafaanya pia naweza kutumia computer ms excel, word pia nina mafunzo ya Jkt kujitolea, kwa atayeguswa naomba msaada wake.