Asante kwa ushauri ndugu, Ila kwa sasa sina mtaji, ndo maana natafuta kibarua niweze kupata mtaji.Wakat unaendelea kutafuta kazi fanya vingine ambavyo si lazima uajiriwe mfano biashara ndogo ndogo
Mtaji jidhamini nenda duka la jumla mali kauli chukua asubuhi tembeza rudisha kabla awajafunga mzigo uliobaki,ukiuza lipa kwa ajili ya kesho hivyo hivyoAsante kwa ushauri ndugu, Ila kwa sasa sina mtaji, ndo maana natafuta kibarua niweze kupata mtaji.
Naona Kama ni ngumu mtu kukuamini mpaka akukabidhi bidhaa kwa Mali kauliMtaji jidhamini nenda duka la jumla mali kauli chukua asubuhi tembeza rudisha kabla awajafunga mzigo uliobaki,ukiuza lipa kwa ajili ya kesho hivyo hivyo
Atafute wadhamini mfano watumishi wanaomfahamu wasimame badala yake hapa hofu ya uaminifu ndio mtihani.Naona Kama ni ngumu mtu kukuamini mpaka akukabidhi bidhaa kwa Mali kauli
Asante kwa ushauriDhamana ndo mtaji.
Usikae ndani eti unangoja mtaji Nini ufanye
Tafuta watu wenye dhamana wanaokufahamu kwenye jamii yako wakudhamini sehemu
1.upate pikipiki ya mkataba
2.Kazi za kujitolea vijiweni mfano saidia fundi kama ujenzi,rangi, welding,seremala, garage ,ukonda,utingo, dukani, tuition nk nia utumike kwa Nia ya kujifunza.
Kama hauna kazi ya kumpa kaa kimya, unafikiri yeye Ni kichaa hajui anachokitafuta.Wakati unaendelea kutafuta kazi, fanya vingine ambavyo si lazima uajiriwe mfano biashara ndogo ndogo.
Anaweza akapata wazo likazaa kazi,wote wamepita huko.Kama hauna kazi ya kumpa kaa kimya, unafikiri yeye Ni kichaa hajui anachokitafuta.
Rubbish
Sijawahi kuwaza Kama ntakuja kupitia nyakati Kama hiz, Leo asubuhi nimeamka sina hata Mia na Nina familia inanitegemea.pamoja na kuzuguka kote nimeambulia buku 2 na mpaka sasa sijui kesho itakuaje.Anaweza akapata wazo likazaa kazi,wote wamepita huko.
Kazi gani utapata Sasa hali hata wenye kazi Wana ndugu zao hawana kazi
Tunapitia mengi then umepambana we siku mambo yamegoma umepata buku 2 unamua umeshinde njaa,unatembea kwa mguu toka mjini hadi home unaitunza buku 2 walau ufike home ununue Mihogo mpike na uji uangalie kesho.Sijawahi kuwaza Kama ntakuja kupitia nyakati Kama hiz, Leo asubuhi nimeamka sina hata Mia na Nina familia inanitegemea.pamoja na kuzuguka kote nimeambulia buku 2 na mpaka sasa sijui kesho itakuaje.
Kama Una kazi iheshimu Sana, usiombe kuwa kwenye situation niliyonayo Mimi wakati huu.
We acha tu ndugu, hapa nilipo nawaza na sipati jibu, yani najiona kabisa nimekonda.But sijakata tamaa, naamini MUNGU atanivusha hapa, japo bado naona Giza mbele yanguTunapitia mengi then umepambana we siku mambo yamegoma umepata buku 2 unamua umeshinde njaa,unatembea kwa mguu toka mjini hadi home unaitunza buku 2 walau ufike home ununue Mihogo mpike na uji uangalie kesho.
Unafika home unampa wife buku 2 afanye maarifa anaishia kuku vunja moyo kwa matusi na kashfa na buku 2 yako.
Kesho hata nguvu ya kupambana utaiotoa wapi.
Baraka na laana kwa mume utoka kwa mwanamke.
Bora uzima, kupambana na familia ni mtihani sana,unakuwa Kama gundi huwezi toka ukaacha familia lazima urudi jioni.We acha tu ndugu, hapa nilipo nawaza na sipati jibu, yani najiona kabisa nimekonda.But sijakata tamaa, naamini MUNGU atanivusha hapa, japo bado naona Giza mbele yangu
Ni hapa hapa ifakara kaka?Kazi yoyote mkuu?? Njoo tubebe zege hukuuu kwa wachina!
Nawezaje kuipata hiyo kazi mkuu?Kazi yoyote mkuu?? Njoo tubebe zege hukuuu kwa wachina!