Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 183
Ndugu zangu wana MMU mie ni mgeni kidogo hapa dar natafuta kanisa la kiroho la kwenda kuabudu, kutokana na tuhuma zinazoendelea ambazo sio nzuri kiukweli kuhusu haya makanisa nimekuwa nikijiuliza kila siku kanisa lipi niwe naenda . naombeni kwa wote wanaoyaelewa haya makanisa anijuze