Natafuta kaka/dada

lol!!!! Hahahahaha mie mbavu sina 🙂🙂 Nimeiangalia tena BC yako mmhhhhh! Wapenda ukubwa weye!!!!
ha haaa, shikilia vizuri hizo mbavu, zaweza chomoka, lol!
 
Reactions: BAK
msiri wangu mwaJ, unaweza kuniambia kuwa Fixed Point angependa hasa mi niwe nani maana naona hapa sandakalawe? of course kwa ruhusa yako...
 
Last edited by a moderator:
msiri wangu mwaJ, unaweza kuniambia kuwa fexed point angependa hasa mi niwe nani maana naona hapa sandakalawe? of course kwa ruhusa yako...
ha haaa, kaka? (vigezo na masharti kuzingatiwa)
dogo.... free pass......
.......take the lead.....
 
FP kwa kifupi tu mimi ni kaka yako mkubwa, ila tatizo ni kwamba urafiki hauna mipaka ya umri. Dada humsaidia kaka na kaka humsaidia dada. Suala la msingi ni mawasiliano na kushirikiana katika taabu na raha. Naomba urafiki.
 

Usije ukamfanya Mod wa watu akafukuzwa kazi hivi hivi.

Siku hizi umri siyo tena kigezo cha nani amwamkie nani. Nilidhani uanalijua hilo.
 
FP kwa kifupi tu mimi ni kaka yako mkubwa, ila tatizo ni kwamba urafiki hauna mipaka ya umri. Dada humsaidia kaka na kaka humsaidia dada. Suala la msingi ni mawasiliano na kushirikiana katika taabu na raha. Naomba urafiki.
mimi na wewe marafiki bana.... huna haja ya kuomba....
najua sana urafiki hauna mipaka, nakubaliana na hilo.
kama umechagua fungu la rafiki wala huhitaji kuleta cheti chako,
ya cheti ni muhimu kwa wanaotaka kuwa dada/kaka/ (mama/baba????) hili haliwezekani maana itakuwa kashfa, lol!
you are my friend bombom
 
Reactions: BAK
Usije ukamfanya Mod wa watu akafukuzwa kazi hivi hivi.

Siku hizi umri siyo tena kigezo cha nani amwamkie nani. Nilidhani uanalijua hilo.
ha haaa....
kule moshi sijui ni watani zetu? kakangu @vuta_nikuvute, moto2012 naomba mwongozo
hapa sitaki kumshirikisha snowhite maana akiona Nicas Mtei itakuwa noma.....
huko nasikia wazee wanawaamkia watoto wadogo sababu wana pesa, lol!
 
Hivi wewe Fixed Point una nini hasa??

Hebu kasome shule huko.....,

Nimeshakwambia kuwa huna lako kwako zaidi ya kunipa haki yangu kama kaka yako!

Babu dC!!
babu longo longo ya nini?
nimiza vigezo na masharti, ujiweke huru, lol!
by the way unajua wafungwa huwa wanaruhusiwa kuwa na wageni? ha haaaaa:tape:
 
Hivi wewe Fixed Point una nini hasa??

Hebu kasome shule huko.....,

Nimeshakwambia kuwa huna lako kwako zaidi ya kunipa haki yangu kama kaka yako!

Babu dC!!

Bora umekuja maana Fixed Point karusha tambo hizooo utadhani dunia nzima ye ndo mkubwa peke ake.................... mie bado namsoma ole wake iwe sivyo
 
Last edited by a moderator:
Of course FP, I'm your friend. But..... mmmmm. ok, ok...... I now understand.
 
Bora umekuja maana Fixed Point karusha tambo hizooo utadhani dunia nzima ye ndo mkubwa peke ake.................... mie bado namsoma ole wake iwe sivyo
ha haaa.... una uchungu wa kujua wewe ni dogo kwangu......
wewe piga yowe uite kijiji kizima walete evidence hapa uone..... tena ile kazi aliyoiomba Katavi ya kukagua nitakupa na wewe
 
Last edited by a moderator:
.......nakutumiaje hiyo siivii oor sorry ni cheti cha uzaliwa hivi eeenh....... Kaizer nielekeze NIDA ipo wapi?
 
Last edited by a moderator:
.......nakutumiaje hiyo siivii oor sorry ni cheti cha uzaliwa hivi eeenh....... Kaizer nielekeze NIDA ipo wapi?
ha haaa, ngoja aje akuelekeze, najua unaenda kuchonga kipya ili ukidhi masharti, lol!
all the best
 
Reactions: BAK
Du mi nshapewa category tayari naona...haya ngoja njieke pembeni!

dada Fixed Point natafuta mke...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…