Bongo utapata tu hata za kichina tafuta hapa dar wapo dealer kibaona mimi nitazipata hizo pesa nkimaliza kazi yangu ya Ukarani wa sensa 😀😀
Kwani wewe ni UVCcm ?na mimi nitazipata hizo pesa nkimaliza kazi yangu ya Ukarani wa sensa 😀😀
sh ngapiBongo utapata tu hata za kichina tafuta hapa dar wapo dealer kibao
Habari ya muda huu wana Jamiiforums, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza., nahitaj kufahamishwa ni maduka gani/wapi naweza pata hizi kofia kwa hapa Tanzania. View attachment 2301477