Natafuta hirizi ya simba

Kuna super market wanauza hizo hirizi za simba,hirizi za tembo,hirizi za fisi nenda utapata mkuu
 
ipo mkuu. zipo za aina mbili. moja inaitwa BIBLIA, yapili ni QURAN.
mtumainie MUNGU utafanikiwa, visasi na vinyongo ni hirizi tosha ya kukuzibia riziki na baraka zako. fanya sala kwa sana kwani ndio silaha kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…