Natafuta hirizi ya simba

Mkuu Sibonike nasikia nyongo ya Mamba ni sumu moja kali sana,yaani inasemekana hata ukiimwaga kwenye mto basi watu au viumbe vinavyotumia maji hayo lazima vidhurike.

Ndiyo maana yake mkuu. Huyo kachoka kuishi. Nyongo ya mamba itarahisisha kazi.
 
Kuna super market wanauza hizo hirizi za simba,hirizi za tembo,hirizi za fisi nenda utapata mkuu
 
ipo mkuu. zipo za aina mbili. moja inaitwa BIBLIA, yapili ni QURAN.
mtumainie MUNGU utafanikiwa, visasi na vinyongo ni hirizi tosha ya kukuzibia riziki na baraka zako. fanya sala kwa sana kwani ndio silaha kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…