Mkuu Sibonike nasikia nyongo ya Mamba ni sumu moja kali sana,yaani inasemekana hata ukiimwaga kwenye mto basi watu au viumbe vinavyotumia maji hayo lazima vidhurike.
ipo mkuu. zipo za aina mbili. moja inaitwa BIBLIA, yapili ni QURAN.
mtumainie MUNGU utafanikiwa, visasi na vinyongo ni hirizi tosha ya kukuzibia riziki na baraka zako. fanya sala kwa sana kwani ndio silaha kubwa.