Digital Ticha
Senior Member
- Jun 16, 2023
- 183
- 266
Nataka kufanya mradi kusaidia young single mothers, ambao waliacha shule au awakeenda shule kabisa.
Mradi utahusu kuwajengea uwezo (ujuzi) na kuwapa kiazio cha mtaji.
Kwenye eneo la ushonaji, mapambo, ususi, urembo, biashara ndogo ndogo na skills ambazo zipo on demand kwa mazingira ya uswahilini.
So naomba anaejua platforms nazoweza kupata msaada wa fund haswa hizi crowdfunding sites zinazotoa kwa independent applicants kama mimi.
Tupeane information wadau.
Nawasilisha.
.
Mradi utahusu kuwajengea uwezo (ujuzi) na kuwapa kiazio cha mtaji.
Kwenye eneo la ushonaji, mapambo, ususi, urembo, biashara ndogo ndogo na skills ambazo zipo on demand kwa mazingira ya uswahilini.
So naomba anaejua platforms nazoweza kupata msaada wa fund haswa hizi crowdfunding sites zinazotoa kwa independent applicants kama mimi.
Tupeane information wadau.
Nawasilisha.
.