Natafuta chuo cha usimamizi wa mochwari (mortuary attendant)

mfate42

JF-Expert Member
Nov 16, 2014
3,770
4,260
Kwa mwenye uelewa wa chuo ambacho naweza kusomea maswala ya usimamizi wa mochwari (mortuary attendant) anisaidie mahali kilipo na taratibu za kufata Ili niweze kwenda kujiunga.

At least naweza nikapata furaha ya maisha yangu.
 
Kwa mwenye uelewa wa chuo ambacho naweza kusomea maswala ya usimamizi wa mochwari ( mortuary attendant )...anisaidie mahali kilipo na taratibu za kufata Ili niweze kwenda kujiunga...

At least naweza nikapata furaha ya maisha yangu....
Kuna tangazo hili hapa la zamani, lakini lina namba za simu, unaweza uliza, au ukaenda mwenyewe pale Muhimbili kuulizia

1694784586083.png

Tangazo lina ukweli kiasi gani sijui..!! Maana e-mail gmail na yahoo kwa taasisi kama Muhimbili nina mashaka nazo
 
Kwa mwenye uelewa wa chuo ambacho naweza kusomea maswala ya usimamizi wa mochwari ( mortuary attendant )...anisaidie mahali kilipo na taratibu za kufata Ili niweze kwenda kujiunga...

At least naweza nikapata furaha ya maisha yangu....
 
Hii ni kozi ya mda mfupi miezi mi3 tu..Na inatolewa na vyuo vitatu tu nchini Muhas,Cuhas na Kcmc kwasasa.

Kikawaida uwa wanatangaza Short course hii ya Mortuary attendance kwa kila mwaka gharama zake ni kuanzia laki 4

Vigezo:
Cheti cha form four.
Akili timamu.
Usiwe na kesi yoyote mahakamani

Kila la heri
 
Back
Top Bottom