Kuna tangazo hili hapa la zamani, lakini lina namba za simu, unaweza uliza, au ukaenda mwenyewe pale Muhimbili kuuliziaKwa mwenye uelewa wa chuo ambacho naweza kusomea maswala ya usimamizi wa mochwari ( mortuary attendant )...anisaidie mahali kilipo na taratibu za kufata Ili niweze kwenda kujiunga...
At least naweza nikapata furaha ya maisha yangu....
Asante sana ndg yanguKuna tangazo hili hapa la zamani, lakini lina namba za simu, unaweza uliza, au ukaenda mwenyewe pale Muhimbili kuulizia
View attachment 2750131
Tangazo lina ukweli kiasi gani sijui..!! Maana e-mail gmail na yahoo kwa taasisi kama Muhimbili nina mashaka nazo
Kwani wewe ukiipata kazi unayoipenda huwi na furaha?" .... furaha ya maisha yangu ...."
Wewe ni mchawi?!
basi sawa.Kwani wewe ukiipata kazi unayoipenda huwi na furaha?
Kwa mwenye uelewa wa chuo ambacho naweza kusomea maswala ya usimamizi wa mochwari ( mortuary attendant )...anisaidie mahali kilipo na taratibu za kufata Ili niweze kwenda kujiunga...
At least naweza nikapata furaha ya maisha yangu....
Kwa mwenye uelewa wa chuo ambacho naweza kusomea maswala ya usimamizi wa mochwari ( mortuary attendant )...anisaidie mahali kilipo na taratibu za kufata Ili niweze kwenda kujiunga...
At least naweza nikapata furaha ya maisha yangu....
Hizo domain za Yahoo na Gmail kwa chuo cha MUHAS kuna ukakas.. atapigwa mtu humu.Kuna tangazo hili hapa la zamani, lakini lina namba za simu, unaweza uliza, au ukaenda mwenyewe pale Muhimbili kuulizia
View attachment 2750131
Tangazo lina ukweli kiasi gani sijui..!! Maana e-mail gmail na yahoo kwa taasisi kama Muhimbili nina mashaka nazo
Shemela, usije ukaanza kujisemesha kwamba maji yaliyopita kwenye vikojoleo vya marehemu, hasa vya kike, ndo yana bei sana..!!Nasikia kichupa cha maji ya huko kidogo tu laki moja
Kabisa, na ndo maana nimetahadharisha mapema.Hizo domain za Yahoo na Gmail kwa chuo cha MUHAS kuna ukakas.. atapigwa mtu humu.
Ushasema kunatisha, and yet unamshangaa huyo mwamba kujidunga konyagi all the time..!!Mortuary kunatisha sio mchezo....... kuna jamaa nilimuona ni mortuary attendant hospital fulani ye huwa anajidunga konyagi all time sjui ni kwa nini??