Natafuta chumba SUA mazimbu

Natafuta chumba SUA mazimbu

Hostel zpo na wanafunz wa sua wanabebana huwez kosa



Ila kapange trust me sitaki kukwambia kwa nn utakuja kujua baadae kuhusu hao wanaokwambia uhuni mbona wanaokaa hostel wanaendekeza pia uhun ni akili yako tu
 
Hostel zpo na wanafunz wa sua wanabebana huwez kosa



Ila kapange trust me sitaki kukwambia kwa nn utakuja kujua baadae kuhusu hao wanaokwambia uhuni mbona wanaokaa hostel wanaendekeza pia uhun ni akili yako tu
Shukrani Kaka kwa ushauri mzuri
 
we njoo tu upange chumba wasikuchanganye hao hapo kwamba kupanga chumba first year utaharibikiwa
Me niko maeneo ya dark city hapo nimepanga toka naingia mwaka wa kwanza mpk now naenda final year wala hakuna cha ajabu...
kwanza hostel ukichelewa siku tu ya kufungua hupati.. we jipange uje upange chumba kijana achana na hostel za mazimbu.
Mkuu, naamini umeshamaliza hapo mazimbu chuo,, sasa nsomba unifanyie mpangi getho kama liko fresh nipange chap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom