Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,763
- 2,678
BIASHARA ZANGU UTOTONI HADI UZEENI
1. Miaka 7 (1993): Kuuza makopo ya soda kwa wanunua screpa
2. Miaka 8 (1994): Kuuza mihogo na visheti vya walimu shule
3. Miaka 9 (1995): Kuuza maandazi ya mama
4. Miaka 10 (1996): Kuuza vitabu vya dini vya she.Musoma,Madrasat Jawhariya- Mazimbu
5. Miaka 11: (1997)Kuuza genge la familia,Mazimbu
6. Miaka 15 (2000): Kuuza mifuko ya rambo soko kuu Morogoro (nimehitimu darasa la 7)
7. Miaka 19 2004🙂 Kuuza vipuri (spear)-Morogoro(Nimehitimu form 4, Iyunga Tech.)
8. Miaka 24;( 2009 -2010) Biashara ya stationary chuoni(Uhasibu-TIA)
9. Miaka 25: (2010)Kufundisha computer mtu kwa mtu (Muhitimu chuo)
10. Miaka 26: (2011)Kuuza pakiti za ice cream na maji Turian,Dumila na Kibaigwa
11. Miaka 27: (2012)Kufundisha ufugaji kuku kienyeji kwa njia ya kisasa (Vyuoni SUA,Mzumbe,MUM,Kigurunyembe Teachers)
12. Miaka 30: (2014-2015)Kufuga kuku wa kienyeji (AMA muajiriwa)-Moshi
13. Miaka 31: (2016-2017)Kufundisha utengenezaji Sabuni za kipande bila mashine
14. Miaka 31: (2018 -2019)Wakala kuuza computer za Apple (all in one) na laptop
15:Miaka 33 (2017 mpaka sasa 2026)Kuanzisha taasisi ya ushauri wa afya na ngozi (Natural Skin Solution)
16: Miaka 37( 2022 mpaka) Huduma ya kutoa ushauri wa kibiashara kwa ndani na nje ya nchi na kuwatembeza (Hasa Dubai na China ndiyo nimefika na kupajua vyema)
Natoa Ushauri Bure kwa yeyote kati ya hiyo
1. Miaka 7 (1993): Kuuza makopo ya soda kwa wanunua screpa
2. Miaka 8 (1994): Kuuza mihogo na visheti vya walimu shule
3. Miaka 9 (1995): Kuuza maandazi ya mama
4. Miaka 10 (1996): Kuuza vitabu vya dini vya she.Musoma,Madrasat Jawhariya- Mazimbu
5. Miaka 11: (1997)Kuuza genge la familia,Mazimbu
6. Miaka 15 (2000): Kuuza mifuko ya rambo soko kuu Morogoro (nimehitimu darasa la 7)
7. Miaka 19 2004🙂 Kuuza vipuri (spear)-Morogoro(Nimehitimu form 4, Iyunga Tech.)
8. Miaka 24;( 2009 -2010) Biashara ya stationary chuoni(Uhasibu-TIA)
9. Miaka 25: (2010)Kufundisha computer mtu kwa mtu (Muhitimu chuo)
10. Miaka 26: (2011)Kuuza pakiti za ice cream na maji Turian,Dumila na Kibaigwa
11. Miaka 27: (2012)Kufundisha ufugaji kuku kienyeji kwa njia ya kisasa (Vyuoni SUA,Mzumbe,MUM,Kigurunyembe Teachers)
12. Miaka 30: (2014-2015)Kufuga kuku wa kienyeji (AMA muajiriwa)-Moshi
13. Miaka 31: (2016-2017)Kufundisha utengenezaji Sabuni za kipande bila mashine
14. Miaka 31: (2018 -2019)Wakala kuuza computer za Apple (all in one) na laptop
15:Miaka 33 (2017 mpaka sasa 2026)Kuanzisha taasisi ya ushauri wa afya na ngozi (Natural Skin Solution)
16: Miaka 37( 2022 mpaka) Huduma ya kutoa ushauri wa kibiashara kwa ndani na nje ya nchi na kuwatembeza (Hasa Dubai na China ndiyo nimefika na kupajua vyema)
Natoa Ushauri Bure kwa yeyote kati ya hiyo