Soja motwa
Member
- Jun 25, 2016
- 10
- 4
Mimi mwaka wa kwanza SUA natafuta chumba mazimbu kizuri kabla ya kuripoti yeyote Wakunisaidi a 0756679941
Kaishi hostel mkuu.Mimi mwaka wa kwanza SUA natafuta chumba mazimbu kizuri kabla ya kuripoti yeyote Wakunisaidi a 0756679941
Nakutafuta WhatsApp kakaMimi mwaka wa kwanza SUA natafuta chumba mazimbu kizuri kabla ya kuripoti yeyote Wakunisaidi a 0756679941
Nakutafuta WhatsApp kaka
[/QUOT
Kwa niniKaishi hostel mkuu.
Nakutafuta WhatsApp kaka
[/QUOTsina whatsapp ntafute kawaida
Kwanini mwaka wa kwanza unataka kukaa nje ya chuo?Mimi mwaka wa kwanza SUA natafuta chumba mazimbu kizuri kabla ya kuripoti yeyote Wakunisaidi a 0756679941
Kwanini mwaka wa kwanza unataka kukaa nje ya chuo?
[/
Ni vyema ukatumia mwaka wako wa kwanza kukaa hostel, ili itakapofika wakati wa kuamua vinginevyo uamue vyema, kwani utakua tayari umejua mbivu na mbichi. Kua mtulivu.Nimeambiwa hostel chache na hata nikipata bad mwaka wa pili itabidi tu nipange
Kama una pesa yako ni bora ukachukua chumba kuanzia first year mkuu.Nimeambiwa hostel chache na hata nikipata bad mwaka wa pili itabidi tu nipange
Mwaka wa kwanza huwa ni priority kupewa chumba hapo hostel. Mwaka wa kwanza huwa vizuri kuanzia hostel ili ujipime vizuri kwenye msuli. Nimekaa pale miaka mitatu ingawa nilianzia main campus. Kilichoniponza kule main ni kukaa nje ya campus huo mwaka wa kwanza! Kwa hiyo mdogo wangu sikushauri huo ujinga unless utuambie unataka kuoa/kuolewa mapema lakini utajutia uamuzi huo!Nimeambiwa hostel chache na hata nikipata bad mwaka wa pili itabidi tu nipange
Mimi mwaka wa kwanza SUA natafuta chumba mazimbu kizuri kabla ya kuripoti yeyote Wakunisaidi a 0756679941
Hapana kaka, utapata tu hostel, mtaani ingia ukiwa second yearNimeambiwa hostel chache na hata nikipata bad mwaka wa pili itabidi tu nipange
Kama anajitambua mwacheni akapange tuu.Hapana kaka, utapata tu hostel, mtaani ingia ukiwa second year
Kama uko mwaka wa kwanza acha mbwembwe za kupanga, kaa hostel!! Nje nenda mwaka wa pili tena baada ya kukosa chumba!!Mimi mwaka wa kwanza SUA natafuta chumba mazimbu kizuri kabla ya kuripoti yeyote Wakunisaidi a 0756679941
Wacha kumtisha mwenzio, akichelewa kitu gani? Hostel Mazimbu zipo za kumwaga mpaka second year huwa wanapata seuse mwaka wa kwanza! Dogo asikubali huo ujinga!we njoo tu upange chumba wasikuchanganye hao hapo kwamba kupanga chumba first year utaharibikiwa
Me niko maeneo ya dark city hapo nimepanga toka naingia mwaka wa kwanza mpk now naenda final year wala hakuna cha ajabu...
kwanza hostel ukichelewa siku tu ya kufungua hupati.. we jipange uje upange chumba kijana achana na hostel za mazimbu.
We umesoma lini hapo mazimbu campus? Kama mwaka uliopita hadi kihonda hostel ilijaa na mwaka wa kwanza wakakosa, vipi mwaka huu? Huyo mdau anaongea kwa experience.Wacha kumtisha mwenzio, akichelewa kitu gani? Hostel Mazimbu zipo za kumwaga mpaka second year huwa wanapata seuse mwaka wa kwanza! Dogo asikubali huo ujinga!
Nicheki pm nikusababishie mchongo wa hostel au room.Mimi mwaka wa kwanza SUA natafuta chumba mazimbu kizuri kabla ya kuripoti yeyote Wakunisaidi a 0756679941