Natafuta chumba na sebule maeneo ya Mbagala

Natafuta chumba na sebule maeneo ya Mbagala

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
588
Reaction score
904
Wakuu habari

Mahitaji chumba na sebule maeneo ya Mbagala ambako nimehamishia shughuli zangu

Maisha yangu kwa asilimia kubwa hapa mjini nimeyaishi Ubungo rudi mpaka Mbezi

Natafuta maeneo ambayo hakuna 'uswahili' sana...simaanishi mimi ni wa kishua...kinyume chake mimi ni shamba nimetoka mkoani kwetu huko Katavi....mambo ya taarabu sijui shughuli(kwetu hii ina maanisha kazi) sijayazoea


Nikimaanisha hata kama chumba na sebule vitakuwa maeneo ya Charambe lakini walau kuna utulivu nitafurahi

Mnao ijua Mbagala naomba mnisaidie
 
Back
Top Bottom