Natafuta binti Salaf wa kuoa

Natafuta binti Salaf wa kuoa

Sheikh nakuombea Allah akufanyie wepesi ila kwa kupitia humu sidhan,wanawake wa hzo sifa ulizotaja majukwaa kma Haya ni nadra sana kumkuta....labda mtu wa humu aone Hili tangazo Amwambie huyo mlengwa ila si directly kumpata humu.
Sheikh kwa uzoefu wangu wanawake walioonyooka hivyo Huwa Sio watu wa mitandao,humu utapata tu "waigizaji"....utapewa intro Pale mwanzo tu,kivumbi subiri kma miezi mitatu hv utaelewa na utajuta kutafuta wanawake kupitia humu.
Humu Labda tafuta mke upambane umkunje/umfunze mwenyewe,hzo sifa za huyo uliyemchora hapo juu utakaa sana sheikh wangu.
 
Sheikh nakuombea Allah akufanyie wepesi ila kwa kupitia humu sidhan,wanawake wa hzo sifa ulizotaja majukwaa kma Haya ni nadra sana kumkuta....labda mtu wa humu aone Hili tangazo Amwambie huyo mlengwa ila si directly kumpata humu.
Sheikh kwa uzoefu wangu wanawake walioonyooka hivyo Huwa Sio watu wa mitandao,humu utapata "waigizaji"....utapewa intro Pale mwanzo tu,kivumbi subiri kma miezi mitatu hv utaelewa na utajuta kutafuta wanawake kupitia humu.
Humu Labda tafuta mke upambane umkunje/umfunze mwenyewe,hzo sifa za huyo uliyemchora hapo juu utakaa sana sheikh wangu.
Aaamiiin kwa dua yako.
Nimefurah ujumbe wako nimeufeel akhy umenyoosha maneno. Lkn naomba uwe barozi ndugu yangu.

Nimecheka kwa sauti eti huyo uliyemchora😂😂😂

Naamini pia humu wapo japo cjaishia humu nimefanya attempt kwa namna nying co huku tu.
 
Sheikh nakuombea Allah akufanyie wepesi ila kwa kupitia humu sidhan,wanawake wa hzo sifa ulizotaja majukwaa kma Haya ni nadra sana kumkuta....labda mtu wa humu aone Hili tangazo Amwambie huyo mlengwa ila si directly kumpata humu.
Sheikh kwa uzoefu wangu wanawake walioonyooka hivyo Huwa Sio watu wa mitandao,humu utapata tu "waigizaji"....utapewa intro Pale mwanzo tu,kivumbi subiri kma miezi mitatu hv utaelewa na utajuta kutafuta wanawake kupitia humu.
Humu Labda tafuta mke upambane umkunje/umfunze mwenyewe,hzo sifa za huyo uliyemchora hapo juu utakaa sana sheikh wangu.
Umeamua kutusagia kunguni Kwa shehe au sio??
 
NATAFUTA BINTI WA KUOA.

Email yangu
natafutamke872@gmail.com

Dini: Muislamu naitakidi na kufuata manhaj salafi

Urefu: 158 cm

Umri: 30

Kazi/kipato. Namshukuru Allah napata rizki kiasi cha kumudu majukumu ya ndoa.

Makazi: Mara nyingi napatikana Dar es Salaam na mikoa ya jirani.

Elimu ya Dini: Najifunza na naendelea kujifunza masomo ya kidini, pia nimehifadhi sehemu ktk Qur’ān.

MIONGONI MWA SIFA NINAZOTAKA KWA MWENZA

Muislamah anayefuata manhaj ya Salaf, mwenye maadili na tabia njema, stara, na mcha Mungu.

Mwenye mapenzi ya dhati na atayeweza kudumisha upendo ndani ya ndoa.

Awe na tabia ya uwazi na ukweli.

Umri: kuanzia miaka 18 hadi 26. Nje ya range tunaweza pia kuzungumza

Elimu: angalau kiwango cha kidato cha nne au zaidi. Mimi nimezid zaid ya hapo.

Urefu: sawa na wangu au chini kidogo, au juu yangu kama atapenda.

Mwonekano: Mrembo, mwenye umbo zuri(shape), rangi ya ngozi maji ya kunde au mweupe.

Anayejitahidi kuheshimu mipaka ya kisheria.

Ikiwa ana mtoto, basi awe ni mjane (mume alifariki dunia).

Mtu mwenye mawazo chanya, anayependa mashauriano ili changamoto zitatuliwe kwa njia bora.


Maelekezo ya Mawasiliano:
Atakayevutiwa na wasifu huu awashirikishe watu wa nyumbani kwake (walii/wake) ili tufanye mawasiliano kwa uwazi na staha.

Na anitumie wasifu wake pia kwa njia ya email.
natafutamke872@gmail.com
UMESHACHEMKA KABLA YA KUMPATA MZEE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom