Natafuta ardhi ya kilimo ya bei nafuu

how can we link and communicate... kuhusu hiyo ardhi ya muheza. kama hautajali ni-PM
 
azeti la guardian la jana lilikuwa na suppliment ya kilimo kwanza. one of the article which attracted my attention was on National Land Bank. Kwa ufupi serikali imeelekeza kila mkoa kujitolea na kuchangia ardhi katika benki ya taifa ya ardhi ambapo hatimaye watapewa wawekezaji wakubwa kupitia kituo cha uwekezaji TIC. hopefully mtakuwa mnafahamu kuwa tanzania ina hekta zipatazo milioni moja na so far hekta 74 elfu zimeshaingizwa kwenye benki hiyo. ukisoma between the line utaona miaka michache ijayo kutakuwa na crisis ya adhi na at the same time bei ya ardhi itakuwa haikamatiki......

nani ana taarifa zaidi kuhusu hii kitu inaitwa National Land Bank... faida na hasara zake?
 
Hata mimi nina nia yakuwekeza katika kilimo, kwa sasa nina kapori kangu pale kiwangwa-Bagamoyo ka heka 60- Hekari wanauza kwa laki mbili na nusu. kama untaka tuwasiliane- kwa 0756 443-705. Naomba nami nijumuike katika juhudi zako za kilimo- umoja ni nguvu.
 
Hata mimi nina nia yakuwekeza katika kilimo, kwa sasa nina kapori kangu pale kiwangwa-Bagamoyo ka heka 60- Hekari wanauza kwa laki mbili na nusu. kama untaka tuwasiliane- kwa 0756 443-705. Naomba nami nijumuike katika juhudi zako za kilimo- umoja ni nguvu.

Hako kapori kako kana maji karibu au ni ya kuchimba? Yaani hiyo mitaa ya Kiwangwa ina maji?
 
Baba wa taifa alisema"KILIMO NI UTI WA MGONGO" hii inamaana ya kwamba kilimo kinawezekana kwasababu resources zinazotumika hazina gharama tumepewa na mungu na nchi nyingi hapa duniani kilimo ndio kimekuwa chachu ya kukua kwa uchumi,mfano mzuri ni nchi kama ya china ni miaka kama 40 iliyopita wametoka kwenye hali kama ya kwetu mpaka hapo waliposasahivi kinachohitajika ni kujitoa tu.Sasa ndugu watanzania ebu turudi mashambani tukaupate huo utajiri.

GOD IS GOD TO EVERYONE LET US TOGETHER TO JOIN OUR FORCES TOWARDS KILIMO KWANZA.
 
Mkuu usikimbilie kulima ekari nyingi halafu zisiwe na tija,unaweza ukalima kilimo kidogo tu chenye tija mpaka ukashangaa,kuna rafiki yangu amefunga drip irrigation kwenye ekari tano tu lakini mavuno ambayo anategemea kuvuna ni makubwa mno na ninakushauri lima mazao ya mbogamboga ambayo yana uhitaji mkubwa mno kwa soko la ndani na nje,huwezi amini uhitaji wa pilipili hoho kwa soko la Dubai wahindi wanazilima sana lakini hawajaweza kulikidhi kwa mfano soko la nyanya la Dar es salaam pekee hakuna aliyeweza kulijaza ndio maana nyanya moja inauzwa hadi 150 nakushauri kama unaweza wekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji kitakulipa kwa muda mfupi,na sio lazima ulime sehemu yenye mto,unaweza chimba kisima kirefu kikatoa maji mpaka ukashangaa tatizo leyu huwa hatuwatumii wataalamu wa fani husika,ukitaka kulima kuna wataalam wengi tu pale sua wanaweza kukushauri,au hawa jamaa wanaitwa balton tanzania ltd wapo opp. holtan kama unakwenda cocacola kwanza utapata jamaa wanaoweza kubadili mtazamo wako. Kigamboni unaweza pata hata eka mia kwa laki mbilimbili,kisarawe vijijini unaweza pata hata zaidi ya heka mia kwa milion tano hadi kumi,km kama 50 toka bagamoyo unaweza pata pia kwa bei nzuri tu.
 
Just to give you my current updates - Jumamosi nilienda Ruvu kutafuta shamba la kulima Mpunga (Kilimo cha umwagiliaji) ambalo si mbali sana na Mto Ruvu, kwa wale wenyeji nilipata sehemu ya Mto msua - km kama 10 - 15 hivi toka mlandizi. Heka moja ni sh laki 5. na shamba lilikuwa na heka 6. nikajikuna kuna mzee mzimaa,, ila bado sijafanya confirmation ya kulinunua ingawa nipo mbioni.

Kule nataka kufanya kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia mto Msua ambao unaingiza maji Ruvu juu. Target ni kuanza na heka 5 kwanza nipime oil. Kama kuna mdau anaweza kujua shamba linalouzwa bei rahisi kidogo kitaa ya huko Please!

Tupo pamoja wakubwa - Kilimo Kilimo & ufugaji Ufugaji hadi kieleweke!!!
 
kabla hujalipia angalia mipaka ya shamba la taifa,NAFCO/NARCO,angalia mipaka ya JKT. Kisha peleleza kama hakuna mtu mwingine aliyewahi kufika hapo. Mambo yote fanyia ofisini mkuu. Mimi nakutakia mafanikio mema,bei hiyo si mbaya hasa kwa eneo lenye maji mwaka mzima.
 
kabla hujalipia angalia mipaka ya shamba la taifa,NAFCO/NARCO,angalia mipaka ya JKT. Kisha peleleza kama hakuna mtu mwingine aliyewahi kufika hapo. Mambo yote fanyia ofisini mkuu. Mimi nakutakia mafanikio mema,bei hiyo si mbaya hasa kwa eneo lenye maji mwaka mzima.

Asante Mkuu kwa ushauri nitaufanyia kazi tena - Mlila kweli upo serious, unatusaidia wengi sana humu.
 
Jamani kuna Mwenye kujua Kama eneo la mlandizi - chalinze Lina Maji ya kuchimba?
 
Mkuu na mimi ni mpenzi wa kilimo, vizuri pia wakulima wachanga wakafahamiana wakapeana mawaidha huenda ujirani mwema kwenye kilimo ni nguvu ya maendeleo.
Tuwasiliane basi mkuu kama utaona ni vyema tukayatafute mashamba pamoja. Ni ushauri wangu na wazo. Asante

Mkifanikiwa kuyaweka mawazo yenu kwa vitendo itakuwa model nzuri kwetu, nawaombea mfanikiwe.
 
Mkuu tuwasiliane.... kwa 0787519910 ama moddyguyz@yahoo.com
Miye nimepambana kiasi katika ishu hizi za kilimo. Kwa sasa namiliki heka kama 20 hapo Kimanzichana ambapo nimepanda mipapai kama heka mbili, mahindi kama heka mbili, nina banda la kuku kama 40 wa kienyeji.
Hivi karibuni nimepata trekta Ford 7500.. Changamoto kubwa sina jembe wala trela!!
Karibu kaka!!
 
Mkuu
tuwasiliane.... kwa 0787519910 ama moddyguyz@yahoo.com
Miye nimepambana kiasi katika ishu hizi za kilimo. Kwa sasa namiliki
heka kama 20 hapo Kimanzichana ambapo nimepanda mipapai kama heka
mbili, mahindi kama heka mbili, nina banda la kuku kama 40 wa kienyeji.
Hivi karibuni nimepata trekta Ford 7500.. Changamoto kubwa sina jembe
wala trela!!
Karibu kaka!!

Pia kunashamba nauza kimanzichana karibu na kijiji cha mkelezage la ekari nne kwa sh. laki 6 kwa ekari kama upo interested nicheck kwa namba 0714644157
 
Hata mimi nina nia yakuwekeza katika kilimo, kwa sasa nina kapori kangu pale kiwangwa-Bagamoyo ka heka 60- Hekari wanauza kwa laki mbili na nusu. kama untaka tuwasiliane- kwa 0756 443-705. Naomba nami nijumuike katika juhudi zako za kilimo- umoja ni nguvu.

Du mbili unusu, ni PM mkuu, nami nipate hata vieka 5
 
Intervention kwenye kilimo inahitaji kujitoa mhanga kweli kweli. Don't count a failure to mark the end of your trials. Ngoja niwape uzoefu kidogo :
July last year brought through my mind an idea of going back home and get back my hoe I threw some years ago when I began traversing through the road to the fruits of Tanzanian the Education system.
As much as you know how long it takes to make it, but God managed and I was at last a bachelor's degree holder in a very respectful carrier the year 2011.
There came there after a work of having employed, in the meanwhile which I came to regret my time lost through education. Ajira zilipatikana lakini too tuff to bear with very little wage. I did it for atmost 2 and a half years to July Last year when I vowed to go back home in desperate.
Kule nyumbani Kuna shamba very close to Lake Shore ambako nilikwenda kumwaga whatever savings I made. Nilifanya kama majaribio ya namna ningefanya kazi kwa kununua pipe za kuchukulia maji toka ziwani kwenda shambani kwa msaada wa gasoline engine water pump 3" ambayo niliazimwa na jirani aliyewahi kuitumia kwa matumizi yaleyale.
The project begun overwhelmed with some sorts of shortcomings ikiwemo ubovu wa mashine ambayo iriharibika mara kwa mara na kufanya zoezi lisimame kufanya repair.
Nilifanikiwa kuandaa eneo la vipimo mita 72.5 kwa mita 122.5 ambalo nilipanda mbegu za mahindi aina gani ile (nasahau) ila alama ya tumbili. Lengo lilikuwa niuze mabichi kwa wachomaji something that promised greatly.
Niliyahudumia kwa palizi na kuwekea mbolea ya urea. Nilibahatika kusave gharama za umwagiliaji kwani mvua ziliendelea kwa mtiririko mzuri ktk miezi ya Sept, Oct, Nov through to Dec.
In the midst I was fortunate to secure a job in public service and left my intervention flourishing under care of my family members. Wakati wote nimekuwa ofisini masikio yangu shambani kwangu kusikilizia maendeleo na wakati wote habari zilikuwa njema kuwa nimelamba dume.
Soko lilikosekana kuuza mahindi mabichi maana kilifuatia kipindi cha mvua ambapo wengi walifanikiwa kuivisha. Nikasema no matter wacha yakauke familia ipate stock haijawahi ipata na no more hunger at home. Back in time familia yetu haikuwahi kuingiza nyumbani gunia zaidi ya tatu km mavuno ya msimu mzima wa kilimo. Nikasema this year Mungu ameonyesha njia kwani wameshuhudia nikiwaengage kwenye kilimo cha kisasa kwa kucultivate small and reap big.
Kwa eneo nililolima na kwa interval ya upandaji I was able to calculate the dry harvest nikiinclude na too much unforeseen losses I expected the worst scenario to bring me not less than 30 sacs of maize.
Mahindi yakakauka bhana, uvunaji ukaanza me anxiously waiting to celebrate the never ever happened harvest results.
Ooooops!!!!!!!!!!!!!!!
Bado sijaamini wazazi kwa wanachonisimulia, even though still themselves are happy with the quantity they have earned, jamani!!!
Yaani naambulia magunia 16 pekee kweli........
Hicho ndicho kilimo bwana, kina matokeo mbali kabisa na simulizi za wataalam.
Hata hivyo sijakata tamaa ndugu zangu. My main interest remain in developing that farm into an irrigation field kwani ndiyo mbinu pekee ya kubakiza matumaini kwa familia kujipatia chakula hata katika nyakati za ukame. Lakini pia kufanya kilimo nyakati za kiangazi kipindi ambacho they only enjoy their leisure while having nothing to depend on for their living.
Mwezi huu huu nawarudisha shambani nikiwapa support za kifedha.
Nimemwaga mbegu za vitunguu ambazo zipo vitaluni, nafanya hivi kuwafanya wapractice na kujifunza changamoto zinazoambatana na zoezi before I pour a lot of capital to build the necessary infrastructure km raised water storage facility, water pump and associated reticulation facilities.
In the long run natarajia kujikita kwenye kilimo cha mapassion (the green gold).
No retreat no surrender, God bless.
 
Intervention kwenye kilimo inahitaji kujitoa mhanga kweli kweli. Don't count a failure to mark the end of your trials. Ngoja niwape uzoefu kidogo :
July last year brought through my mind an idea of going back home and get back my hoe I threw some years ago when I began traversing through the road to the fruits of Tanzanian the Education system.
As much as you know how long it takes to make it, but God managed and I was at last a bachelor's degree holder in a very respectful carrier the year 2011.
There came there after a work of having employed, in the meanwhile which I came to regret my time lost through education. Ajira zilipatikana lakini too tuff to bear with very little wage. I did it for atmost 2 and a half years to July Last year when I vowed to go back home in desperate.
Kule nyumbani Kuna shamba very close to Lake Shore ambako nilikwenda kumwaga whatever savings I made. Nilifanya kama majaribio ya namna ningefanya kazi kwa kununua pipe za kuchukulia maji toka ziwani kwenda shambani kwa msaada wa gasoline engine water pump 3" ambayo niliazimwa na jirani aliyewahi kuitumia kwa matumizi yaleyale.
The project begun overwhelmed with some sorts of shortcomings ikiwemo ubovu wa mashine ambayo iriharibika mara kwa mara na kufanya zoezi lisimame kufanya repair.
Nilifanikiwa kuandaa eneo la vipimo mita 72.5 kwa mita 122.5 ambalo nilipanda mbegu za mahindi aina gani ile (nasahau) ila alama ya tumbili. Lengo lilikuwa niuze mabichi kwa wachomaji something that promised greatly.
Niliyahudumia kwa palizi na kuwekea mbolea ya urea. Nilibahatika kusave gharama za umwagiliaji kwani mvua ziliendelea kwa mtiririko mzuri ktk miezi ya Sept, Oct, Nov through to Dec.
In the midst I was fortunate to secure a job in public service and left my intervention flourishing under care of my family members. Wakati wote nimekuwa ofisini masikio yangu shambani kwangu kusikilizia maendeleo na wakati wote habari zilikuwa njema kuwa nimelamba dume.
Soko lilikosekana kuuza mahindi mabichi maana kilifuatia kipindi cha mvua ambapo wengi walifanikiwa kuivisha. Nikasema no matter wacha yakauke familia ipate stock haijawahi ipata na no more hunger at home. Back in time familia yetu haikuwahi kuingiza nyumbani gunia zaidi ya tatu km mavuno ya msimu mzima wa kilimo. Nikasema this year Mungu ameonyesha njia kwani wameshuhudia nikiwaengage kwenye kilimo cha kisasa kwa kucultivate small and reap big.
Kwa eneo nililolima na kwa interval ya upandaji I was able to calculate the dry harvest nikiinclude na too much unforeseen losses I expected the worst scenario to bring me not less than 30 sacs of maize.
Mahindi yakakauka bhana, uvunaji ukaanza me anxiously waiting to celebrate the never ever happened harvest results.
Ooooops!!!!!!!!!!!!!!!
Bado sijaamini wazazi kwa wanachonisimulia, even though still themselves are happy with the quantity they have earned, jamani!!!
Yaani naambulia magunia 16 pekee kweli........
Hicho ndicho kilimo bwana, kina matokeo mbali kabisa na simulizi za wataalam.
Hata hivyo sijakata tamaa ndugu zangu. My main interest remain in developing that farm into an irrigation field kwani ndiyo mbinu pekee ya kubakiza matumaini kwa familia kujipatia chakula hata katika nyakati za ukame. Lakini pia kufanya kilimo nyakati za kiangazi kipindi ambacho they only enjoy their leisure while having nothing to depend on for their living.
Mwezi huu huu nawarudisha shambani nikiwapa support za kifedha.
Nimemwaga mbegu za vitunguu ambazo zipo vitaluni, nafanya hivi kuwafanya wapractice na kujifunza changamoto zinazoambatana na zoezi before I pour a lot of capital to build the necessary infrastructure km raised water storage facility, water pump and associated reticulation facilities.
In the long run natarajia kujikita kwenye kilimo cha mapassion (the green gold).
No retreat no surrender, God bless.

Nimependa sana mrejesho wako. WaTanzania inabidi tujikite zaidi kwenye kilimo cha umwagiliaji kwani ndio chenye uhakika. Nakutakia kila la kheri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom