Natafuta ardhi ya kilimo ya bei nafuu

Natafuta ardhi ya kilimo ya bei nafuu

Mkuu tuwasiliane.... kwa 0787519910 ama moddyguyz@yahoo.com
Miye nimepambana kiasi katika ishu hizi za kilimo. Kwa sasa namiliki heka kama 20 hapo Kimanzichana ambapo nimepanda mipapai kama heka mbili, mahindi kama heka mbili, nina banda la kuku kama 40 wa kienyeji.
Hivi karibuni nimepata trekta Ford 7500.. Changamoto kubwa sina jembe wala trela!!
Karibu kaka!!
Hongera mkuu
 
kweli kilimo uti wa mgongo...ngoja nikomae mwaka huu namie nirudi na mrejesho!!
 
Vipi mrejesho?
mwaka jana nilijaribu kulima matango na nyanya... kwenye matango nilipata mavuno kidogo kwasababu asilimia ya mbegu niliuziwa fake shimoni kariakoo. pia kwenye nyanya napo mambo hayakua mazuri kivile kwasababu nilikutana na changamoto ya bei na ukame ulioaffect mwishoni!! ila mwaka huu nimeanza vyema na ngwara,choroko na ufuta. Ngoja nisubirie majibu.
 
mwaka jana nilijaribu kulima matango na nyanya... kwenye matango nilipata mavuno kidogo kwasababu asilimia ya mbegu niliuziwa fake shimoni kariakoo. pia kwenye nyanya napo mambo hayakua mazuri kivile kwasababu nilikutana na changamoto ya bei na ukame ulioaffect mwishoni!! ila mwaka huu nimeanza vyema na ngwara,choroko na ufuta. Ngoja nisubirie majibu.
Hongera mkuu ni kupambana na kuongeza umakini katika kilimo.
 
Back
Top Bottom