Elections 2010 Natabiri....

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,216
113,519
....kuwa siku ya tarehe 31 mwezi huu ambayo ndio siku ya uchaguzi mkuu wa Tanzania, idadi wa watumiaji wa tovuti hii wataongezeka sana kupita kiasi. Mpaka sasa rekodi iliyokwa ya watumizi wengi ni tarehe 16, mwezi machi mwaka huu kama inavyoonekana kwenye nukuu hii "Most users ever online was 5,663, 16th March 2010 at 04:08 AM."

Sijui siku hii kulikuwa na nini lakini tarajieni hiyo rekodi kuvunjiliwa mbali. Natabiri watu 10,000 kuangalia JF kwa wakati mmoja siku hiyo.....
 
....kuwa siku ya tarehe 31 mwezi huu ambayo ndio siku ya uchaguzi mkuu wa Tanzania, idadi wa watumiaji wa tovuti hii wataongezeka sana kupita kiasi. Mpaka sasa rekodi iliyokwa ya watumizi wengi ni tarehe 16, mwezi machi mwaka huu kama inavyoonekana kwenye nukuu hii "Most users ever online was 5,663, 16th March 2010 at 04:08 AM."

Sijui siku hii kulikuwa na nini lakini tarajieni hiyo rekodi kuvunjiliwa mbali. Natabiri watu 10,000 kuangalia JF kwa wakati mmoja siku hiyo.....

Kama JF itakuwa inapatikana........Wasije wakaikolimba ili tusipate updates!!!
 
....kuwa siku ya tarehe 31 mwezi huu ambayo ndio siku ya uchaguzi mkuu wa Tanzania, idadi wa watumiaji wa tovuti hii wataongezeka sana kupita kiasi. Mpaka sasa rekodi iliyokwa ya watumizi wengi ni tarehe 16, mwezi machi mwaka huu kama inavyoonekana kwenye nukuu hii "Most users ever online was 5,663, 16th March 2010 at 04:08 AM."

Sijui siku hii kulikuwa na nini lakini tarajieni hiyo rekodi kuvunjiliwa mbali. Natabiri watu 10,000 kuangalia JF kwa wakati mmoja siku hiyo.....

JF inaweza kulemewa pia watu wote hao wakijaribu kuaccess at the same time.
 
....kuwa siku ya tarehe 31 mwezi huu ambayo ndio siku ya uchaguzi mkuu wa Tanzania, idadi wa watumiaji wa tovuti hii wataongezeka sana kupita kiasi. Mpaka sasa rekodi iliyokwa ya watumizi wengi ni tarehe 16, mwezi machi mwaka huu kama inavyoonekana kwenye nukuu hii "Most users ever online was 5,663, 16th March 2010 at 04:08 AM."

Sijui siku hii kulikuwa na nini lakini tarajieni hiyo rekodi kuvunjiliwa mbali. Natabiri watu 10,000 kuangalia JF kwa wakati mmoja siku hiyo.....
Hauko mbali sana na ukweli, ila mimi nadhani kuwa siku hiyo wengi wa watumiaji wa mtandao watakuwa kwenye mafoleni kusubiria kupiga kura(maana ndio wenye ari ya juu kulinganisha na raia wengine), na pia watumizi wengi jumapili hawaingii ofisini(tarakilishi za bure), hivyo watakosa mawasiliano. Na hivyo mimi natabiri tarehe 1/11/2010 ndipo kutakuwa na watu wengi mtandaoni!
 
Wewe ulishatabiri kuwa ccM itashinda kwa urahisi na CHADEMA wanapiga kelele za bure. Lakini sasa hivi naona umepiga kimya sana kwa sababu utakua huna tena uhakika na utabiri wako. Na hiyo uliyotabiri hapo juu siyo utabiri. Ni conclusion ambayo mtu yeyote angeweza kuisema kama anafuatilia JF. Labda hiyo figure lakini najua utakua wrong tu! Jaribu tena.
 
Back
Top Bottom