Nasumbuliwa na Jinamizi hili kila nikilala naomba Msaaada na Ushauri

Omba toba then....Just before to bed sema hivi, mwenyezi MUNGU uliyemuweza, MUNGU uonae visivyoonekana, MUNGU ujuaye maadui zangu na mwenye uweza wa kupigana nao, Mimi nasalimisha vita vyangu kwako Kwan sivijui, naomba upigana nao Kwan mim Sina uwezo wa kupigana nao.Naachilia damu ua YESU katika roho, nafsi na mwili wangu.
 
Lala na TAA ya Mwanga mkali chumbani kwako hautawaona maana hao wanapenda kiza ndio maana wanakujia usiku
 
Habari za Jioni wakuu!

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana, asubuhi au usiku. Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.

Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile. Inauma sana!

Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga wale wa mitishamba na wanaoutumia vitabu vya kiarabu pia kwa watumishi mbalimbali kuombewa. Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi. Nimepoteza pesa nyingi sana kwenye hili suala,nyingi!

Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.

Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.

Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo, zaidi ya mwaka wa Saba. Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu. Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Okoka, mpe Yesu Maisha yako, amin usiamini, jinamizi litakimbia, hutakuja kuliona tena. Mungu anaweza yote. pia jua, mapenzi kinyume na maumbile ni dhambi, soma Warumi 1:27
 
Habari za Jioni wakuu!

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana, asubuhi au usiku. Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.

Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile. Inauma sana!

Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga wale wa mitishamba na wanaoutumia vitabu vya kiarabu pia kwa watumishi mbalimbali kuombewa. Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi. Nimepoteza pesa nyingi sana kwenye hili suala,nyingi!

Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.

Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.

Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo, zaidi ya mwaka wa Saba. Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu. Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Warumi 26-27
26 Kwa hiyo, Mungu aliwaachia wafuate tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao waliacha matumizi ya asili ya maumbile yao wakatumia miili yao isivyokusudiwa. 27 Hali kadhalika wanaume waliacha uhusiano wa asili kati ya waume na wake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume walifanyiana mambo ya aibu, nao waka pata katika miili yao adhabu waliyostahili kama matokeo ya uovu wao.

ENGLISH:
26 Because of this, God gave them over to shameful lusts. Even their women exchanged natural sexual relations for unnatural ones. 27 In the same way the men also abandoned natural relations with women and were inflamed with lust for one another. Men committed shameful acts with other men, and received in themselves the due penalty for their error
 
Back
Top Bottom