Nasumbuliwa na Jinamizi hili kila nikilala naomba Msaaada na Ushauri

Tatizo lako ni dogo.. usilale ukiwa unaangalia juu.. lala kifudifudi au ubavu ubavu.. ukiota tena majinamizi utaniambia
Hali hii huwa haichagui style ya kulala. Iwe ubavu ,chali au kifudifudi inajitokeza.
 
Pole mkuu uwe na desturi ya kusali kila ulalapo omba ulinzi wa mungu..Ni vema sana kma ni mkirstu kila ukilala usiache kusali sara ya malaika mlinzi..jiwekee desturi hyo mpendwa

Hakuna jinamizi atakaye kusogerea ukiwa na ulinzi wa Mungu

Ushauri wangu hayo mawazo toa usiwaze hayo mambo kwa maan kila ukiwaza ndo yanakutokea

Hakuna kitu kigumu kama kujenga imani na Mungu ila nakuambia ukiwa karibu yake utaamini
sali sana muda wako mwingi Ni vema kusoma Bible kulitafakari neno lake kwa Makin uku ukiaomba kibari kwa kusikiliza na kuelewa unayo yasoma............
 
Mshana Jr oya we msela wa zamani, njoo utoe utatuzi kuna mtu analiwa kinyeo huku usingizini, msaidie asije akanogewa akaanza kugawa mwenyewe macho makavu.
Mkuu usidhihaki sana. Haya maisha yana fumbo kubwa sana.
Hivi vitu watu hatukuviomba. Shukuru Mungu uko mzima na hujapata hizi ghiliba.
Asante!
 
Habari za Jioni wakuu!

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana, asubuhi au usiku. Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.

Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile. Inauma sana!

Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga ama kwa watumishi mbalimbali kuombewa. Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi.
Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.

Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.

Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo, zaidi ya mwaka wa Saba. Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu. Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Badirisha upepo kunamtu anaweza kukusaidia hayo hua yapo Ila ni shekh
 
Mkuu usidhihaki sana. Haya maisha yana fumbo kubwa sana.
Hivi vitu watu hatukuviomba. Shukuru Mungu uko mzima na hujapata hizi ghiliba.
Asante!
Vitu hivi vinatokea watu wengi ila hapa wengi ni kebehi tu.mi nilipokuwa sec school nilikiwa naota sana kukabwa nikilala,mpaka nikawa sipendi usiku uingie wakati mwengine mchana.inawezekana kweli wakati mwengine position unayolala lakini,kuna zaid ya hilo.Nahis ilo watu wanaloita jinamizi.Mimi kwa Imani yangu huwa tuna visomo vya kusoma haya mambo yakikutolea na ndo ilonifanya niwe nalala vizuri,na kwangu ilikuwa mbaya sana nikawa siwezi hata kulala nyumba ya peke angu nilikuwa mwoga sana wa kulala.Ivo tafuta unaemwamini akuombee kwa vile unavyoamini,lakini kwa Mganga sishauri unaweza ukaenda ukazidisha matatizo,kwa Mungu hakishindikani kitu.
 
Mkuu,hiyo hali haihusiani na hilo jambo ulilolitaja,

Unajua ndoto ni reflection ya kile mtu akiwazacho au ambacho hukiona mara kwa mara mpaka kitu hicho kikawa recorded na his brain,

Jibu langu halikuhusiana na ndoto coz hilo analodai mleta mada kua ni Jinamizi sio jinamizi kama anavyoamini.
Mleta mada ana tatizo anahitaji msaada.
 
Kaka nimesem hv..ww uko affected kisaikolojia.haijalishi ni hela au nin..relax mzee
Poor mind! Who are psychologist ?
Are they alien ?
Dont they face problems.
According to researchers psychologist are most confused people and most of them commit suicide ?
Fu##*ck all psychologist, they define other people while they dont understand themselves.
How can you heal some one while yourself you are sick!!
 
Jamiiforums siku hizi ina watu wa ajabu ajabu. Unaweza usipate msaada unaouhitaji.

Wengine nao wajuaji tu hata kama hawajui kitu. Basi ilimradi nao wamejitutumua kwa lolote.

Mizaha mizaha tu na kujitia werevu. Kila mtu anataka kuonekana ana maarifa.

Nafikiri ile kauli mbiu ya kusema kwamba Jamiiforums ni "home of great thinkers" ndio haswa inayowafanya hata wajinga wadhani wana akili timamu mara tu wanapojiunga humu.

Ni kama vile wanafikiri kwamba wanapojiunga humu wanapata 'automatic licence' ya kuwa WAJUVI, ama wanapokea miujiza fulani ya kuwa na akili nyingi.

Hata wale MAAMUMA wasiojua japo kusafisha kinywa, na wao unawakuta wanatoa ushauri mahali.

Bwana mkubwa nikupe pole sana. Hebu tafuta wataalamu wa kiroho watakusaidia.

Lakini pia, mambo ya kiroho yanahitaji mchakato unaohusisha toba, sala na dhamira ya kweli.

Pole sana.
Kuna watu wapumbavu sana,na wanajikuta werevu na kila maisha wameyapitia..

Wapuuzi sana,mtoa mada atazidi kuvunjika moyo kwa hawa wapuuzi.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Nimejitahidi sana kwenda mkuu. Inaniumiza sana kwa kweli,
Mara nyingi hii Hali inaweza kuchangiwa na msongo wa mawazo, kama Kuna kitu Cha muda mrefu kinachokusumbua kwenye akili yako aidha kukosa kazi, pesa, mapenzi

Pili yaweza kuwa sleeping position jitahidi ulale kwa upande na sio flat

Tatu yaweza kuwa matatizo mbali mbali ya kiafya kama obstructive sleep apnea kama una uzito mkubwa jitahidi kufanya mazoezi upungue. Usipendelee Kula late at night wengine wanaconditions kama gastroesophageal reflux disease ambayo acid inakuwa inarudi katika Koo la chakula na kujisika kiungulia au ukilala unashtuka kama unakosa pumzi especially ukilala flat.

Ila kwa case yako most likely yaweza kuwa demonic attacks, ambazo sasa yabidi uwe unasali kabla ya kulala. Tena sala yako include keywords jina la yesu, damu ya yesu, msalaba soma Bible especially agano jipya au zaburi unaweza ukaweka audio Bible ukasikiliza wakati wa kulala. Sala na kusoma neno la mungu ndiyo tiba.

Kama unakaa sehemu ambazo watu hawasali, au watu wanapractice ushirikina, at first attacks zinaweza kuja but this time utaona unakuwa in control aidha unayakemea yanakimbia au kukuacha au unayapiga mwisho wa siku usipoacha kusali itabaki kuwa historia..
 
Spiritual warfare, ukianza hiyo vita usiache.
Waefeso 6:12 kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, Bali dhidi ya wakuu wa Giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

Mathayo 12:43-45

43. Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu, huzurura zurura jangwani akitafuta mahali pa kupumzika asipate. 44. Hapo hujisemea nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka. Lakini anaporudi na kuikuta tupu, imefagiwa na kupambwa. 45. Huenda kuwachukua pepo wengine Saba, wengine wabaya kuliko yeye na wote huja wakamwingia huyo. Na hali ya mtu huyo huwa mbaya kuliko ya Kwanza.

Hayo maneno ya yesu, so unapoanza hiyo vita inatakiwa iwe ya kudumu sio leo unaombewa au unasali then ukipata unafuu unaacha. inabidi uwe unasoma neno la mungu ndio chakula Cha roho kuifanya roho iwe strong against evil spirits.
 
Hali hii huwa haichagui style ya kulala. Iwe ubavu ,chali au kifudifudi inajitokeza.
kuna mbinu rahisi sana za kutumia unapokuwa katika hali hiyo, jaribu kukunja kidole cha mguuni au mkononi. Utaamka hapo hapo hii ni hatua ya kwanza, ukiiweza kuna namna ya kujifunza kutawala ndoto zako na hatua nyingine ni kukukabili kile unachokiogopa.
Wakati nikiwa mdogo nilipata shida sana ilifika hatua nikawa naona watu ndani tena mchana sio usiku.
 
Mkuu usidhihaki sana. Haya maisha yana fumbo kubwa sana.
Hivi vitu watu hatukuviomba. Shukuru Mungu uko mzima na hujapata hizi ghiliba.
Asante!
Niwie radhi mkuu, sijakudhihaki ila nimeleta masihara yenye ukweli ndani yake ktk jambo la serious.
Mshana ni braza ambae tumekuwa tunataniana saana ndio maana nimemuita kwa masihara

Ni ukweli pasina kupata ufumbuzi inawezekana ukaharibikiwa zaidi, kufikia hatua hiyo niliyoisema, sote tunajua mshana huwa anazungumzia mambo ya ulozi humu..

Yote 9, 10 una imani ya dini ipi?
 
"Walimwengu" hawa watu nihatali sana..Pole mkuu.
Majibu ya hapa 98% yatakuwa yakimasihara utajiongezea matatizo mengine bure.
Duniani kuna ujinga mwingi sana.kuna wajinga wachache wanapenda ujinga na wanaendeleza ujinga.
Usichoke kutafuta jibu pambana watakufelisha hao wajinga...
kwa kweli kuna watu wanaleta ujuaji wa kipuuzi sana
 
Mkuu pole sana...ivyo vitu vipo sana tu achana nawanao kudhihaki..usikate tamaa pambania furaha yako kwa gharama yeyote ile..Mungu atakusaidia usikate tamaa
 
Habari za Jioni wakuu!

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Naomba ushauri kwa hili suala la kusumbuliwa na majinamizi haya wakati napokuwa nalala iwe mchana, asubuhi au usiku. Japokuwa hii hali huwa haitokei kila siku ila haipiti mwezi au wiki mbili ikajirudia.

Nakuwa nakabwa na Kinataka kuniingilia kinyume cha maumbile. Na nikiamka nasikia kama kuna mtu kanifanyia kitu kinyume na maumbile. Inauma sana!

Hii hali nimepambana nayo sana sio kwa Waganga wale wa mitishamba na wanaoutumia vitabu vya kiarabu pia kwa watumishi mbalimbali kuombewa. Ila mpaka sasa bado sijapata ufumbuzi. Nimepoteza pesa nyingi sana kwenye hili suala,nyingi!

Hali hii inanipa stress mpaka kuna kipindi natamani kujidhuru niondoke dunia hii.

Inaniumiza sana. Nifanyaje halii hii iishe.

Hali hii inasimbua tangu sijamaliza hata chuo, zaidi ya mwaka wa Saba. Kipato changu ni kizuri na najimudu vizuri na kuishi maisha mazuri tu. Hali hii pia huwa inanitokea hata nikiwa nimelala na mwanamke wangu.
Pole Sanaa mkuuu nachoshauri Ni hikii moja chunguza Kama ulishawahi fanya ovu lolote kwa yeyote yule alafu kaombe msamaaha then muombe Mungu serious kabisa yaani follow all principal in prayer Kama acha dhambi ,nyenyekea kwa Mungu , nakuomba usiishie hapo tu Bali mueleze Mungu nn kinakushinda simamia hapa ## Yeremia 33:3 Niiteni nami nitawaitikia na kuwaonesha mambo mkubwa magumu msiyoyajua# ### pole mkuu # upo wapi wewe nione namna ya kukusaidia
 
Back
Top Bottom