Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,625
Sasa hao malaika wakiwa midume balaa si ndo litaongezeka..... Nao wanaweza wakakolea wakataka mzigo.....Ungekuwa Muisilam ningekushauru kabla ya kulala uchukue udhu yaani utawadhe then ungeswali laka 2 ulale,hapo unakumbatiwa na Maraika mpaka asubuhi,nani atakugusa