Nasumbuka na uzazi

Abbitto

JF-Expert Member
Feb 12, 2019
547
744
Natumaini mu wazima hata kama sio mia kwa mia lkn pumzi ipo.Mwenzenu nina shida hasa inayonikosesha furaha ya maisha maana nimeolewa mwaka Wa tatu sasa sijafanikiwa kupata mtoto, sijawahi kutoa mimba ila nimekunywa dawa nyingi za mitishamba bila mafanikio.

Mwaka Jana mwishoni nilienda hospitali wakagundua nilikuwa na fungus kwenye kizazi na mirija yote ilikuwa imeziba,walinipa dawa za kutibu iyo fangas na niliona mabadiliko na pia walinizibua mirija nayo pia niliona mabadiliko.

Sasa ni miezi mitano imepita bado sijashika mimba,sasa bas najua humu kuna madoctor au wahanga ambao waliwahi kupitia hali kama yangu Kwa kweli naomba msaada wenu.natanguliza shukrani zangu za dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi mitano bado ni michache sana kukata tamaa maadamu tatizo ulishalipatia suluhisho (kulitibu)

Ila ushauri wangu ni kuishi katika lifestyle ya kutafuta Mtoto kwa maana ya kwamba kushiriki tendo sana ndani ya zile siku ambazo kuna chance kubwa ya kushika mimba(nb: hii haina maana siku nyingine msishiriki).

Wanawake wengi wana tatizo la kuchange swing mood (kubadilika tabia na mienendo ya ukali upweke na vitu kama ivi) wanapokuwa katika kipindi cha fertilization so ni muhimu kujilazimisha kufanya tendo hata kama huna mood coz kipindi ichi haufanyi kwa ajili ya starehe bali ni kutafuta mtoto

Kutokana na maendeleo ya kiteknolojia sasa hivi kuna application nyingi za simu zinazoweza kukusaidia kutrack mzunguka wako e.g flo... itafute hii ni nzuri ilimsaidia dada flani ivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi mitano bado ni michache sana kukata tamaa maadamu tatizo ulishalipatia suluhisho (kulitibu)

Ila ushauri wangu ni kuishi katika lifestyle ya kutafuta Mtoto kwa maana ya kwamba kushiriki tendo sana ndani ya zile siku ambazo kuna chance kubwa ya kushika mimba(nb: hii haina maana siku nyingine msishiriki)....
Nashukuru Kwa ushauri kuhusu kutrack ov huwa najua kabisa hapa naov koz mzunguko wangu ni Wa siku 28 nikikaribia ov kuna dalili nazionaga na tunakuwa tunafatisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi mitano bado ni michache sana kukata tamaa maadamu tatizo ulishalipatia suluhisho (kulitibu)

Ila ushauri wangu ni kuishi katika lifestyle ya kutafuta Mtoto kwa maana ya kwamba kushiriki tendo sana ndani ya zile siku ambazo kuna chance kubwa ya kushika mimba(nb: hii haina maana siku nyingine msishiriki)....
Mumeo Yupo vuzuri? (Utimamu wa afya ya uzazi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumaini mu wazima hata kama sio mia kwa mia lkn pumzi ipo.Mwenzenu nina shida hasa inayonikosesha furaha ya maisha maana nimeolewa mwaka Wa tatu sasa sijafanikiwa kupata mtoto,sijawahi kutoa mimba ila nimekunywa dawa nyingi za mitishamba bila mafanikio.Mwaka Jana mwishoni nilienda hospitali wakagundua nilikuwa na fungus kwenye kizazi na mirija yote ilikuwa imeziba,walinipa dawa za kutibu iyo fangas na niliona mabadiliko na pia walinizibua mirija nayo pia niliona mabadiliko.Sasa ni miezi mitano imepita bado sijashika mimba,sasa bas najua humu kuna madoctor au wahanga ambao waliwahi kupitia hali kama yangu Kwa kweli naomba msaada wenu.natanguliza shukrani zangu za dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha, mbali sana mkuu. Kuna mdada alikuwa jirani yangu back then 2009 alikuwa kabila langu, akawa anasimangwa na mumewe kwa tatizo kama lako, basi nikawa namtania namwambia anipe na mimi tuone kama kweli anatatizo, duh si-siku moja tukacheza mchezo, lahaula, baada ya few weeks, kaona mabadiliko,....! Somo, mwambie jamaa naye akapime mkuu.
 
Natumaini mu wazima hata kama sio mia kwa mia lkn pumzi ipo.Mwenzenu nina shida hasa inayonikosesha furaha ya maisha maana nimeolewa mwaka Wa tatu sasa sijafanikiwa kupata mtoto,sijawahi kutoa mimba ila nimekunywa dawa nyingi za mitishamba bila mafanikio.Mwaka Jana mwishoni nilienda hospitali wakagundua nilikuwa na fungus kwenye kizazi na mirija yote ilikuwa imeziba,walinipa dawa za kutibu iyo fangas na niliona mabadiliko na pia walinizibua mirija nayo pia niliona mabadiliko.Sasa ni miezi mitano imepita bado sijashika mimba,sasa bas najua humu kuna madoctor au wahanga ambao waliwahi kupitia hali kama yangu Kwa kweli naomba msaada wenu.natanguliza shukrani zangu za dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana! Ila kikubwa mpe jamaa mzigo apige tani yake utanasa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*TATIZO LA UGUMBA*

Tatizo la ugumba linatibika nimeona ni bora nielezee hapa kwa faida ya wote huenda hata wewe au ndugu yako unasumbuliwa na tatizo hili, kwa kifupi tatizo hili ni kubwa sana kwa wanawake na wanaume takriban 30%_40%ya tatizo hili la Ugumba linawakumba wanaume na 40%_50% huwakumba wanawake wakati 10%-30% zilzobak ya tatizo hili husababishwa kwa pamoja na matatzo Kati ya mwanamme na mwanamke,
*UNAJUA MAANA YA UGUMBA??*
Ugumba ni Ile hali ya mwanamme /mwanamke kupoteza uwezo wa kutungisha au kubeba mimba
hii kwa mwanaume tunasema anashindwa kutungisha mimba ilhal anakutana kimwili na mkewe pasipo kutumia kizuizi na mkewe pia hatumii vizuizi vya mimba, Hali huwa hivi kwa upande wa mwanamke naye huwa anashindwa kubeba mimba ilhal hatumii dawa za Uzazi wa mpango ambapo pia anakutana na mumewe Bila Kinga ila anashindwa kupata ujauzito
katika familia 5 zinazofanya mapenzi katika wakati muafaka wa OVULATION wakiwa na malengo ya kupata mtoto ni familia moja tu ndiyo inafanikiwa kupata mtoto,
AINA ZA UGUMBA
PRIMARY INFERTILITY
Hii ni aina ya kwanza ya Ugumba ambayo yenyewe inawahusisha watu ambao hawakuwahi kubahatika kupata mtoto hata mmoja yan mwanaume anajitahid kutungisha mimba huku mwenza wake akiwa hatumii kizuizi mimba Lakin hafankiw na huku pia mwanamke anajitahid kubeba mimba ilhal hatumii dawa za Uzazi wa mpango Lakin hafankiw
SECONDARY INFERTILITY
Hii ni aina ya Ugumba ambayo hutokea baadae yani ni baada ya mwanamke/mwanamme kuzaa/kuzalisha Mara Moja maishani mwao na hawafanikiwi kupata mtoto mwingne
SABABU/VYANZO VYA UGUMBA
UTOAJI WA MIMBA
TATIZO LA HORMONE IMBALANCE (kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni kwa mwanamke)
MATUMIZI YA DAWA/SINDANO ZA UZAZI WA MPANGO
KUUGUA UGONJWA WA FANGASI UKENI KWA MUDA MREFU (VAGINAL CANDIDIASIS)
KULEGEA KWA SHINGO YA KIZAZI
KUWA NA MSONGO WA MAWAZO
MATATIZO YA UZAZI OVARIES KUSHINDWA KUTOA MAYAI
KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
MATUMIZI YA POMBE/BANGI /SIGARA NI HATARI
KUTOKWA NA UCHAFU SEHEMU ZA SIRI WENYE HARUFU MBAYA
KUSUMBULIWA NA MAUMIVU YA TUMBO WAKATI WA HEDHI KWA MUDA MREFU
KUPATA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA NA KUWA NA MAUMIVU MAKALI CHINI YA KITOVU KWA MUDA MREFU
MWILI KUWA MNENE KUPITA KIAS
KUWA NA MAGONJWA YA ZINAA, KAMA KISONONO, PID, GONO NK
MWANAUME KUWA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
KUZIBA KWA MIRIJA YA KUPITISHIA MANII
KUWA NA MBEGU CHACHE (uchache wa shahawa)
DALILI ZA UGUMBA
kutokushika mimba katika siku za hatari
siku zako za hedhi kutokua katika mpangilio yani zinapishana na kubadilka tarehe kila wakati
kupata Maumivu makali chini ya tumbo Mara kwa Mara
mwili kuwa na manyoya kifuani au kuwa na ndevu nyingi
kushindwa kushiriki tendo la ndoa/kutokufurahia tendo la ndoa kwasababu unapata maumivu makali
kutokuwa na MSISIMKO
kupata Maumivu makali chini ya kitovu upande wa kulia au kushoto kwa ndani
kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa Zaidi ya Mara moja
uume kushindwa kusimama
kufika Kileleni mapema
kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
*MATIBABU NA JINSI YA KUJIKINGA*
Matibabu ya Ugumba huhusisha wenzi wote wawili na yanahtaji uvumilvu na uelewa kwasababu yanaweza kuchukua muda mrefu kuona matokeo,
matibabu haya hufanyika kwa kuangalia majibu kutoka ktk vipimo mbalimbali
Ni vizuri mtu kujikinga na tatizo hili kutokana na athari zake kuwa kubwa,
*NJIA ZA KUJIKINGA NA TATIZO HILI*
kuondoa mawazo
kujikinga na magonjwa mbalmbal kama vile fangas, uti nk
acha kutumia dawa za Uzaz wa mpango
jitahd uwe unachuguza vizuri afya yako
mwanaume acha kutumia viagra na dawa za kemikal
jiepushe na kansa na kisukar
zingatia afya bora kwa kula mlo kamili
punguza mwili
acha kutumia dawa za kulevya na unywaji wa pombe

Kwa faida ya watu wengine share post hii kwa magroup mengine

Whats app / call
+255 655 821 550

Pia usikose kufuatilia mada zangu kuhusu matibabu yake. Au kama tayari umeathirika waweza kunitafuta ili nikupatie msaada piga

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa info

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi mitano bado ni michache sana kukata tamaa maadamu tatizo ulishalipatia suluhisho (kulitibu)

Ila ushauri wangu ni kuishi katika lifestyle ya kutafuta Mtoto kwa maana ya kwamba kushiriki tendo sana ndani ya zile siku ambazo kuna chance kubwa ya kushika mimba(nb: hii haina maana siku nyingine msishiriki)
Wanawake wengi wana tatizo la kuchange swing mood (kubadilika tabia na mienendo ya ukali upweke na vitu kama ivi) wanapokuwa katika kipindi cha fertilization so ni muhimu kujilazimisha kufanya tendo hata kama huna mood coz kipindi ichi haufanyi kwa ajili ya starehe bali ni kutafuta mtoto

Kutokana na maendeleo ya kiteknolojia sasa hivi kuna application nyingi za simu zinazoweza kukusaidia kutrack mzunguka wako e.g flo... itafute hii ni nzuri ilimsaidia dada flani ivi

Sent using Jamii Forums mobile app

IMG_2496.JPG




Sent using Jamii Forums mobile app
 
awali ya yote nikupe pole sana maana unahitaji then hupati kwa muda wako japo naamini utapata,
kikumwa mshauri mme wako nae akapimwe upate uhakika ujue shida ipo wapi. jambo jingine ambalo linaweza lisionekane hospitalini ila linawatesa wanawake wengi ni overweight, ukiwa na uzito mkubwa mimba huwa ni changamoto kushika japo si kwa wote ila hilo ninauhakika nalo,
Angalia ulaji wako yani punguza vyakula vya wanga/sukari kwa kiasi kikubwa kadri uwezavyo na ukifanya hivyo utapata mafanikio makubwa sana, sukari na wanga inakuwa kama dawa za kuzuia mimba hasa ikiwa we ni mlaji wa vyakula vya wanga na sukari kupindukia,
Nimekueleza juu juu maana sijajua pia na upande wa pili anahali gani.
 
awali ya yote nikupe pole sana maana unahitaji then hupati kwa muda wako japo naamini utapata,
kikumwa mshauri mme wako nae akapimwe upate uhakika ujue shida ipo wapi. jambo jingine ambalo linaweza lisionekane hospitalini ila linawatesa wanawake wengi ni overweight, ukiwa na uzito mkubwa mimba huwa ni changamoto kushika japo si kwa wote ila hilo ninauhakika nalo,
Angalia ulaji wako yani punguza vyakula vya wanga/sukari kwa kiasi kikubwa kadri uwezavyo na ukifanya hivyo utapata mafanikio makubwa sana, sukari na wanga inakuwa kama dawa za kuzuia mimba hasa ikiwa we ni mlaji wa vyakula vya wanga na sukari kupindukia,
Nimekueleza juu juu maana sijajua pia na upande wa pili anahali gani.
Sawa,ila mm sio mnene wala mwembamba nipo kati tu labda uo ushaur Wa yy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miezi mitano bado ni michache sana kukata tamaa maadamu tatizo ulishalipatia suluhisho (kulitibu)

Ila ushauri wangu ni kuishi katika lifestyle ya kutafuta Mtoto kwa maana ya kwamba kushiriki tendo sana ndani ya zile siku ambazo kuna chance kubwa ya kushika mimba(nb: hii haina maana siku nyingine msishiriki)...
Hata my Calendar nayo ni nzuri sana
 
Back
Top Bottom